Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Tatizo ni kwamba hao wanaomtuhumu sidhani kama wana hard evidence.
Tatizo ni kwamba hao wanaomtuhumu sidhani kama wana hard evidence.
"Hapa mjini jamani tunaishi kimjini si kila kitu unachomuona nacho mtu ni cha kwake," alieleza Ridhiwani katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumatatu Dar es Salaam.
Kibongobongo akili kumkichwa.DUh Wanajamvi hebu nisaidieni hapa, kuishi kimjini ndo nini?
Ngoja tusubiri NN. Ulitoka ushahidi hadi wa Mkapa kumiliki Kiwira. Si ajabu Dr Slaa ana ushahidi wa kuthibitisha hayo anayoyasema. Hili zoezi la kuvua gamba limesababisha makundi mbali mbali ndani ya chama chao waanze kuchafuana hadharani katika kuwania nafasi ya 2015.
DUh Wanajamvi hebu nisaidieni hapa, kuishi kimjini ndo nini?
Awamu za uwazi na ukweli hizi AD! Kila mtu aliye kwenye ngazi za uongozi na familia yake inabidi waanike mali zao hadharani. Sasa atazikimbia mali zote na kusema si zake. Ngoja tuone kasheshe hii itaelekea wapi? Siku saba zikiisha labda atafungua kesi na hapo ndipo Dr Slaa ataanika mali zote za Ridhiwan na kuweka uthibitisho kwamba ni zake na Bin Kikwete atadai mali hizo si zake bali ni za Rostam, Al adawi na Mkono. Kazi kweli kweli!
kwahiyo hii mbinu ya kuishi ni kwa bongo peke yake au popote pale duniani?Kibongobongo akili kumkichwa.
Hivi kweli NN unaweza kufuata sheria kiujanja ujanja?Maana yake ni kuishi kiujanja ujanja.
Tatizo ni kwamba hao wanaomtuhumu sidhani kama wana hard evidence.
Hivi kweli NN unaweza kufuata sheria kiujanja ujanja?
Maana yake ni kuishi kiujanja ujanja.
Nakubaliana na wewe mkuu, tuhumu bila evidence, tena kutoka ngazi za juu sio suala zuri. Upande mwingine, kwa hizi system zetu, ushahidi utatoka wapi?
Mtikila nchi nzima inajua ukimpa kidogo unamtuma kazi yoyote naogopa kama slaa atakuwa anamnukuu mtikila itamshushia hadhi.Kuishi kimjini mjini usipoangalia nafasi yako na nafasi ya familia yako katika masuala ya umma na kiserikali unaweza shtukia unajutia kuropoka, wanaoamua kukaa kimya si wajinga, ni busara.
Dr. Slaa alitaja orodha ya mafisadi muda mrefu tu serikali na ccm wakawa wanamkejeli na leo hii mmekuja na hili la kujivua gamba. Ridhiwani kama ana askili nzuri angefikiria yaliyojilia kujivua gamba kulikotokana na moto aliowasha Dr. Slaa. Na hata Mtikila naye anayoongea huwa ni ya kweli. Dogo usipoangalia na kujiona unajua sheria ulizosomea juzi zisijekukupeleka pabaya.
Ulichokiona wewe cha msingi ni heshima yake kuliko wizi wake.Pamoja na kutompenda riz namsifu alivyotanguliza heshima kwa wazee hawa.
Kakuibia nini ? Mchukulie RB apelekwe kisutu.Ulichokiona wewe cha msingi ni heshima yake kuliko wizi wake.
Nyie ni wale wale tu tulipowaambia nyie ni mafisadi mkasema tupelekeni mahakamani leo mnavuana bukta hadharani.Kakuibia nini ? Mchukulie RB apelekwe kisutu.
Acha hadithi weka ushahidi kama unao tuujadili sio kila mwenye mawazo tofauti ni fisadi.Nyie ni wale wale tu tulipowaambia nyie ni mafisadi mkasema tupelekeni mahakamani leo mnavuana bukta hadharani.