TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,890
- 11,286
Wakuu...
Ndhani sisi wana JF tunachangia sana kumpa promo ridhwani na baadhi ya vijana wa UVCCM wasiostahili tunachowapa. Nasema hivi wkasababu nimeona dawa ya hawa UVCCM ni kuwadharau na kuwapotezea mazima
Nchi yetu na hasa watoto wetu hawana cha kujifunza kutoka viongozi wa kitaifa wenye lugha chafu na za kebehi kabisa, even writing their whereabouts and what not is not wise... vijana waliolelewa na wazazi kimaadili hawawezi kutukana mtu mzima hata kama ni kichaa
tunatakiwa kuwafundisha watoto wetu kutosikiliza watu waliopelea busara na maarifa
Ndhani sisi wana JF tunachangia sana kumpa promo ridhwani na baadhi ya vijana wa UVCCM wasiostahili tunachowapa. Nasema hivi wkasababu nimeona dawa ya hawa UVCCM ni kuwadharau na kuwapotezea mazima
Nchi yetu na hasa watoto wetu hawana cha kujifunza kutoka viongozi wa kitaifa wenye lugha chafu na za kebehi kabisa, even writing their whereabouts and what not is not wise... vijana waliolelewa na wazazi kimaadili hawawezi kutukana mtu mzima hata kama ni kichaa
tunatakiwa kuwafundisha watoto wetu kutosikiliza watu waliopelea busara na maarifa