Natoa angalizo kuhusu Mchungaji Christopher Mtikilla kuwa kwa siku hizi heshima yake na uadilifu vimepungua kutokana na njaa aliyoyonayo. Usijeshangaa Mtikilla anasema anajitoa na anamsafisha Riz 1
Napenda kale katangazo Clouds, mimi ni Riz 1 JK naangalia ...., I wish na waliopita nao wangefanya hivyo tuwajue, au wao hawakua masharobaro?, who r u?