Mtoto wa Mhe. Rais mhe Ridhiwan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano wa kuhamasisha Uvaaji wa Ijab mwaka huu Mkoani Arusha. Vigezo na masharti kuzingatiwa! ( Radio Iman FM)
acha ubwege wewe-mbona kikwete akifungua warsha za maaskofu husemi-udini utauua ubongo wakoMtoto wa Mhe. Rais mhe Ridhiwan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano wa kuhamasisha Uvaaji wa Ijab mwaka huu Mkoani Arusha. Vigezo na masharti kuzingatiwa! ( Radio Iman FM)
Umeielewa mada lakin? Kama huwez kufikiria kwa akili yako si ugandamizie kwa wenzio? Angalia wenzio wamecoment kitu gan ndo na wewe utoe coments!acha ubwege wewe-mbona kikwete akifungua warsha za maaskofu husemi-udini utauua ubongo wako