Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Ninatambua ninachokifanya na nina malengo. Ninachohangaika nacho kwa sasa ni kijishamba changu nilichoachiwa na babu yangu, nataka nikope fedha nikiimarishe. Sina fedha jamani, akaunti yangu haina hata milioni 10. Lakini nayajua madhara ya kuwa mwanasiasa ni kama haya, kuzushiwa. Sitasema kitu na hutanisikia nikisema kitu kuhusu hili, alisema Ridhiwan kwa sauti ya masikitiko.
kwa wanaojua kusoma minds za watu, hapa yanayoelezwa ni mengi zaidi na kwa kifupi inaonekana kuwa jamaa hasemi ukweli. Kwani utajiri ni account ya benki tu? what about other assets? what about those which are in names of relatives. Even funny anasema kuwa haongei na waandishi wa habari wakati ameongea na Tanzania daima. Any way still si haki kumshutumu Ridhiwani, kwa sababu hata kama amepokea hela za EPA kupitia mkono wa tatu sio kosa lake hata sisi in one way or the other huenda zimetufikia bila kujijua
kwa wanaojua kusoma minds za watu, hapa yanayoelezwa ni mengi zaidi na kwa kifupi inaonekana kuwa jamaa hasemi ukweli. Kwani utajiri ni account ya benki tu? what about other assets? what about those which are in names of relatives. Even funny anasema kuwa haongei na waandishi wa habari wakati ameongea na Tanzania daima. Any way still si haki kumshutumu Ridhiwani, kwa sababu hata kama amepokea hela za EPA kupitia mkono wa tatu sio kosa lake hata sisi in one way or the other huenda zimetufikia bila kujijua