Yes,inapaswa kuwa hivyo. Tatizo lake kila anapoweka mguu anachafua hali ya hewa. Kumbuka kule UVCCM alivyowavuruga, sasa nasikia hata kwenye uchaguzi Yanga kaleta mgogoro.vipi bana, kwani yeye hana haki? let the boy live his life
Yes,inapaswa kuwa hivyo. Tatizo lake kila anapoweka mguu anachafua hali ya hewa. Kumbuka kule UVCCM alivyowavuruga, sasa nasikia hata kwenye uchaguzi Yanga kaleta mgogoro.
Ana haki kama mwanachama yeyote kuhudhulia. Nilimsikia mwenyewe BBC akikili kwamba yeye ni mpenzi wa Yanga na Liverpool.Nimesikia jina la huyu mtu kule kwenye uchaguzi wa Yanga...... Imekuwaje tena? au sikio langu halikuwa makini? Nisaidie jamani.
vipi bana, kwani yeye hana haki? let the boy live his life