Ridh1 alimwomba baba yake(raisi KIKWETE) amchague masha na akamchagua uwaziri

Kule kwenye front page kuna neno great thinkers ndio wanapatikana humu, ila ukiingia ndani ni udaku kwa kwenda mbele sio poa wana JF tuelezane yenye mantiki kwa ajili ya kujenga.
 
PHP:

PHP:

Mambo mengine muwe mnafkiri kutuletea hapa sio wote fkra zetu finyu kiasi hicho rais ana baraza la ushauri sio pekeake anaamua kumpa mtu uwaziri au cheo kikubwa serikalini pia chama tawala kina barazakuu linahusika katika ZOEZI wewe vipi kama unashuki na JK usihusishe mambo mengine au kama unasikia vijiweni uwe unauliza ujue ndo ulete hapa
Naomba nikujibu kuwa anayetakiwa kumshauri Raisi katika uteuzi wa Mawziri ni Waziri Mkuu basi

Hiyo ni kwa mujibu wa Ibara ya 55(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge.
(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.
 
Mambo mengine muwe mnafkiri kutuletea hapa sio wote fkra zetu finyu kiasi hicho rais ana baraza la ushauri sio pekeake anaamua kumpa mtu uwaziri au cheo kikubwa serikalini pia chama tawala kina barazakuu linahusika katika ZOEZI wewe vipi kama unashuki na JK usihusishe mambo mengine au kama unasikia vijiweni uwe unauliza ujue ndo ulete hapa

Naomba nikujibu kuwa anayetakiwa kumshauri Raisi katika uteuzi wa Mawziri ni Waziri Mkuu basi

Hiyo ni kwa mujibu wa Ibara ya 55(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge.
(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.
 
Naomba nikujibu kuwa anayetakiwa kumshauri Raisi katika uteuzi wa Mawziri ni Waziri Mkuu basi

Hiyo ni kwa mujibu wa Ibara ya 55(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge.
(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.

Mkuu angalia upungufu uliomo kwenye katiba yetu, inampa Rais uhuru wa kucheza na hela zetu, ndio maana unasikia manaibu waziri wengine wameibiwa huko Morogoro vitu vya thamani. Sasa kama naibu wziri haingii hata kwenye cabinet, ni wa nini? kwani hakuna maofisa wizarani wanaoweza kumsaidia waziri?
 
Naomba nikujibu kuwa anayetakiwa kumshauri Raisi katika uteuzi wa Mawziri ni Waziri Mkuu basi

Hiyo ni kwa mujibu wa Ibara ya 55(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge.
(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.

Mkuu angalia upungufu uliomo kwenye katiba yetu, inampa Rais uhuru wa kucheza na hela zetu, ndio maana unasikia manaibu waziri wengine wameibiwa huko Morogoro vitu vya thamani. Sasa kama naibu wziri haingii hata kwenye cabinet, ni wa nini? kwani hakuna maofisa wizarani wanaoweza kumsaidia waziri?
 
sasa wewe ulikua mfua chupi zao ndio ukapata habari hii? Au ni kuwadi wa ridhwan? Wacha kuleta utumbo hapa nenda kwenye vibaraza vya jobless hapa sio pahala pako
 
Naomba nikujibu kuwa anayetakiwa kumshauri Raisi katika uteuzi wa Mawziri ni Waziri Mkuu basi

Hiyo ni kwa mujibu wa Ibara ya 55(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge.
(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.

Utanukuu saana lakini uhalisia unabaki palepale kwamba tanzania yaliyoandikwa siyo yanayotendeka. Ona dhana ya uwajibikaji ya JK anamsimamisha Ngeleja na kumwacha Malima n.k hayo yameandikwa wapi? Ni wapi katika katiba panapotaka mke wa rais kuomba taarifa ya maendeleo ya mkoa toka kwa Mkuu wa Mkoa na akirudi ikulu inapokelewa katika ofisi gani? Lakini huku kwetu ni ya kawaida. Ni juzijuzi tu wakati wa uchaguzi tulimwona mama Salma akimwombea kura Ngeleja kule Geita, alisema ni kijana mchapa kazi na mwaminifu ... aliyapata toka taarifa ipi ya utendaji wa Ngeleja kama mke wa Rais? Kwa hiyo we acha tusitiane kichefuchefu kwa kunukuu katiba, katiba imeshavunjwa na kuandikwa upya bila kubadili 'mind set' ya viongozi ni kupoteza muda, maana tutaweka hiki yeye atatenda kingine!!!! Kwa sababu hiyo wala hutupaswi kushangaa kama Masha alipendekezwa na Riz1 maana tunajua waliopendekezwa na wengine na wakapita wako wengi tu...akina 'WANAWAKE NA MAENDELEO' kibao na wao wakapendekeza kaka yao awe mkuu wa mkoa na akawa na ameweka kwenye hotel yake aksante Kikwete...we vipi bana?
 
waziri wa zamani wa mambo yandani lawrence masha alipata kazi ya uwaziri baada ya mtoto wa raisi kikwete kumwambia baba yake amchague na ndo yeye aliyemfanyie recommendation, sasa siwezi jua kama na hao mawaziri wengine ni mke wake anayemchagulia:sad:

kumbe hata wewe unakuwa na mawazo ya ajabu kiasi hicho? Kwani kila alitakalo mtoto au mke ndio yenyewe kutekelezwa? Umeshinda!
 
Back
Top Bottom