Ikimita
JF-Expert Member
- Oct 23, 2010
- 300
- 21
Kwa mfano, kuchelewa kazini-UNATUPWA. Kuendesha gari ya vodacom ukiwa unaongea na simu na ukiripotiwa na yeyote aliyekuona-UNATUPWA. Ukichelewa kutoa reports kwa superior wako na ukabainika bila excuse-UNATUPWA. Upande wa customer care ndo usiseme...ukimjibu vibaya mteja na ukasikika-UNATUPWA.
Ndo hali ya wenzetu haooooooo
Mkuu ni taratibu za msingi sana hao wafanyakazi walipaswa kufuata ili kuongeza ufanisi kazini. Sasa kama kisa cha kuwapunguza ni kutokutii hizo taratibu ni bora waende tu.