Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
That is what it means to darling of west...ambao wewe unasema we cannot do without them..unachanganya comment zako...ndugu nchi hii itajengwa na watanzania kama india, china na malaysia zilivyojengwa na wao wenyewe..si lazima ujipendekeze kwa hao wezi wazungu ..Anawakaribisha bila kujiridhisha na uhalali wa Kampuni yenyewe? Anyway, uwekezaji wenyewe nako ni "wizi in disguise", if you like! Mkapa mwenyewe anajuta kuwaalika wezi (jina zuri la wawekezaji) kuja kupora rasilimali zetu! Wakati Mkapa anajutia vitendo hivyo JK yuko busy kuwaalika wezi kuja kuendeleza uporaji! Hivi watu kabla ya kuingia Ikulu huwa wanaacha akili zao nje ya Ikulu na kuzirudia wakati wanatoka huko? Simwelewi kabisa JK kwa kuwaalika wezi kuja kupora mali zetu!