Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Sio movie za kina Ze great hizi...?
Sio movie za kina Ze great hizi...?
Tehe demu pamoja na mume wake kukamega ka Tatyana lkn pesa imemkosha ametuliaaaaa tuliiiiiiiiiii
hahahahahaha ngoja Wakurya wakusikie,,,ila tuache utani pande zile kuna mayai jamani ndugu zanguunauliza mayai kitunda?ndo zenyewe iz
Mkuu, umeshaishi mitaa hiyo nini?...Tangia saa 10 za usiku ni misururu ya baiskeli kuelekea mjini, na kinachofurahisha ni kwamba wana ushirikiano wa ajabu sana...hahahahahaha ngoja Wakurya wakusikie,,,ila tuache utani pande zile kuna mayai jamani ndugu zangu
afadhali richard baada ya kupata mifweza kafanya kitu cha maana yaani katumia kwa kutengeneza filamu inayolipa na kutoa mafunzo siyo yule shemeji yangu mshindi wa pili wa mwaka ule.......hakufanya cha maana aliishia kubeba tu mastaa wakamla ile mbaya bahati yake aliitwa tena bba lakini si haba tano bora na shemeji tena duuu!!!!![/QUOTE]
angeenda kubeba magunia ya Tumbaku kule Moro, naskia ana mdogo wake kwenye kile Kiwanda cha Tumbaku TTPL angemstili kaka yake ila dada yetu nae Kamkwangua sijui alitumia kiwembe gani, eti ni kweli dada yetu ameshaachana na Jamaa wa NK2NK?