qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
nimesoma kwenye blog moja ya hovyo lakini hoja hapa ni kuwa hii redio inatumiwa na Magamba kueneza ujinga wa CCM inatwa kasibante wenyeji wa huko wanajua hilo.ni redio ya kijinga sana
BLOG NI Harakati
na sasa amechukua huyu sijui itakuwaje
poleni sana wahaya
nimesoma kwenye blog moja ya hovyo lakini hoja hapa ni kuwa hii redio inatumiwa na magamba kueneza ujinga wa ccm inatwa kasibante wenyeji wa huko wanajua hilo.ni redio ya kijinga sana
blog ni harakati
na sasa amechukua huyu sijui itakuwaje
poleni sana wahaya
nimesoma kwenye blog moja ya hovyo lakini hoja hapa ni kuwa hii redio inatumiwa na Magamba kueneza ujinga wa CCM inatwa kasibante wenyeji wa huko wanajua hilo.ni redio ya kijinga sana
BLOG NI Harakati
na sasa amechukua huyu sijui itakuwaje
poleni sana wahaya
njaa tu inamsumbua kagasheki atakuvusha wapi? Njaa mwanamalegeza
nimesoma kwenye blog moja ya hovyo lakini hoja hapa ni kuwa hii redio inatumiwa na Magamba kueneza ujinga wa CCM inatwa kasibante wenyeji wa huko wanajua hilo.ni redio ya kijinga sana
BLOG NI Harakati
na sasa amechukua huyu sijui itakuwaje
poleni sana wahaya
Hapo kwenye nyekundu. Hii redio ni ya Khamis Kagasheki, Mbunge wa Bukoba Mjini na Naibu Waziri wa mambo ya ndani. Hii imetumika sana kumjenga na "kummaliza" mpinzani wake Wilfred Lwakatare.
Huyu richard leo bado yupo?!Kati ya FM Radio mbovu hapa duniani hii Kasibante inaongoza.Watangazaji wake ni wa hovyo wasio na elimu na weledi wa kazi zao.Habari zao ni za kizushi zisizokuwa na ukweli wowote.Mara nyingi imekuwa ikitumiwa na watu wachache katika kuwachafua wengine na kupandikiza chuki katika jamii.Baada ya Kagasheki kupigwa chini na Lwakatare sasa imekuwa busy kupambana na mahasimu wake wa kisiasa.TCRA FUNGIA UPUUZI HUU UNAOITWA KASIBANTE RADIO.