anazungumzia mgomo kama nani?
Kilaza kweli jamaa
Huku hakuna umeme fanya kama upo kwenye mkutano wa ndani utumegee sisi tulionje ya ukumbi (gizani) at least tupate kuchangia.
Amesema ana degree mbili kabla hata kabla hajaulizwa kiwango cha elimu yake
Huyu jamaa namuangalia hapa ni siasa tupu..watanzania tuna taabu sana.Anasema yeye aliwai kulipwa mshahara wa dola 5000 lakini bado alikuwa aridhiki.Sasa anawaambia madaktari waridhike na laki 5.Huyu jamaa sijui wa wapi?
Nimesikia anajinasibu ati alikuwa anapata dola 5000 na bado alikuwa aridhiki.. yaani huyu ni kilaza namba 3.. lakini cimshangai huyu.. anatumika na anabebwa na JK..
Wana jamii forum angalieni tbc sasa hivi mtaalam.Richard Kasesela anavyoshusha pumba kuhusu mgomo.wa madaktari