Hivi haiwezekani kwa TANESCO kushare hii hasara na hawa waliowaingiza mkenge? Au utaratibu ukoje unapoomba ushauri wa kitaalamu alfu huyo mtaalam mshauri akaamua kwa makusudi kukupotosha? hakuna liability yoyote kwa huyo consultant?
Hivi kama Rex ndio walio washauri kuvunja mkataba si bora Tanesco wawashitaki ili professional indemnity insurance itumike kulipa hiyo fine
Ndege wafananao huruka pamojaHuyu Mwanaidi Majaar Senare ni yule Balozi wa Tanzania nchini Uingereza. Ni swahiba mkubwa sana wa JK, Rostam na Lowassa. Ana undugu kikabila na Lowassa. Ndiye leading partner wa Rex, yeye na mdogo wake Hawa Senare. Kampuni yao kupata kazi za serikali si jambo la kuuliza.
Wanafikiri wako smart saana, but there comes a day. A hell for them all.
Mungu wabariki maskini wa Tanzania.:Cry:
Huyu mama leo katangaza eti kujiuzulu uananchama CCM utadhani alipoingia alitutangazia kuwa anajiunga na CCM au TANU,naona wengi wameshaanza kutimka CCM kwa kuhofia zama za Magufuli,hawa ndio wameiingiza mkenge Tanesco kwa undumila kuwili wa Dowans,chezea wengine si Magufuli naamini kwenye mipenyo ya fedha rahisi itafungwa MAKUFULI na MagufuliHivi kama Rex ndio walio washauri kuvunja mkataba si bora Tanesco wawashitaki ili professional indemnity insurance itumike kulipa hiyo fine
Huyu mama leo katangaza eti kujiuzulu uananchama CCM utadhani alipoingia alitutangazia kuwa anajiunga na CCM au TANU,naona wengi wameshaanza kutimka CCM kwa kuhofia zama za Magufuli,hawa ndio wameiingiza mkenge Tanesco kwa undumila kuwili wa Dowans,chezea wengine si Magufuli naamini kwenye mipenyo ya fedha rahisi itafungwa MAKUFULI na Magufuli
Rekebisho kidogo, Dr. Hawa ndie mkubwa, Mwanaidi ni mdogo mtu.
Wajameni nawaombeni sana tujiangalie tujegeuka hate preachers. Ushauri wa kisheria 'legal opinion' ni professional job na inafuata kanuni za due diligency.
Dr. Sinare amenifundisha Investment Law pale UD, na kusema kweli, she was one of my inspirational, kwanza ana utu, ndiye mwalimu pekee kati ya miaka yangu 4 ya sheria pale UD ambaye somo lake, aligharimia kila kitu kwa fedha zake za mfukoni, huu ni utu wa zida.
Alikuja kufundisha, sio ili apate mshahara, (kwa pesa gani pale Ud), bali alijitolea tuu ili ku impart vast knowledge yake kwa wengine.
Ndie aliyenifungua macho kuhusu wanasheria corporate lawyers na hawa wa litigation nadhani ndio maana mpaka leo sisi wengine tumejikuta ni wazito sana kukanyaga mahakamani, degree ya sheria imeishia kabatini, huku tunaendelea kuchezea key board newsroom!.
Hata wanasheria mabingwa, kuna wakati wanashindwa kesi, na kuna washeria wa hovyo kabisa na wanashinda kesi.
Naamini Huyu Mama ni mmoja wa wanasheria vichwa funika bovu tulionao humu nchini.
Tozo tumeishalipa.Rekebisho kidogo, Dr. Hawa ndie mkubwa, Mwanaidi ni mdogo mtu.
Wajameni nawaombeni sana tujiangalie tujegeuka hate preachers. Ushauri wa kisheria 'legal opinion' ni professional job na inafuata kanuni za due diligency.
Dr. Sinare amenifundisha Investment Law pale UD, na kusema kweli, she was one of my inspirational, kwanza ana utu, ndiye mwalimu pekee kati ya miaka yangu 4 ya sheria pale UD ambaye somo lake, aligharimia kila kitu kwa fedha zake za mfukoni, huu ni utu wa zida.
Alikuja kufundisha, sio ili apate mshahara, (kwa pesa gani pale Ud), bali alijitolea tuu ili ku impart vast knowledge yake kwa wengine.
Ndie aliyenifungua macho kuhusu wanasheria corporate lawyers na hawa wa litigation nadhani ndio maana mpaka leo sisi wengine tumejikuta ni wazito sana kukanyaga mahakamani, degree ya sheria imeishia kabatini, huku tunaendelea kuchezea key board newsroom!.
Hata wanasheria mabingwa, kuna wakati wanashindwa kesi, na kuna washeria wa hovyo kabisa na wanashinda kesi.
Naamini Huyu Mama ni mmoja wa wanasheria vichwa funika bovu tulionao humu nchini.