Hahahahaha................!!
Yaani hapo akizinduka akiuliza ilikuaje? kuna nini? unamsimulia tena kila kitu ili zimie tena hahahaha.................!!
Akizinduka tu unamuambia....mpo wawili teh teh teh anazimia..................!!1
Sema Mungu kama uhusiki na hii storyKweli kapata wa kumtoa uzuzu
DA mnaishi wapi huko kuna chief taking care of the people's personal affairs, lol
Mie mtu akifanyiwa revenge huwa nachekelea. Mpe pole yangu huyo mama. Sasa ndo atahangaika na moyo wa jamaa ushatulia.
yaani mie hapo kwa mwanamke kulala nje ya nyumba yake bila maelezo/taarifa kwa mume wake ndipo paliponishangaza,huyo mwanaume kama ni uvumilivu wake umepitiliza kikomo, haiwezekani aisee.nimekumic my dearest..mzima wewe?
Nakwambia ni balaa tupu si unajua nyumba ziko karibu karibu?? Hiyo bluu hiyo sijui umepotelea wapi aisee
Tabia hizi nimeziona sana kwa wanawake wenye fedha/kipato kikubwa kuliko mwanaume mambo yote ya nyumbani anamaliza mwanamke hivyo basi mwanamke anaonekana kichwa cha familia anamkalia juu mwanaume anabaki kuwa mwoga ananywea anakuwa ***** kabisa zezetayaani mie hapo kwa mwanamke kulala nje ya nyumba yake bila maelezo/taarifa kwa mume wake ndipo paliponishangaza,huyo mwanaume kama ni uvumilivu wake umepitiliza kikomo, haiwezekani aisee.nimekumic my dearest..mzima wewe?
Mwanamke anapokuwa ndiye kajulikana ameanza kucheat, in most cases reactions za mwanaume zinasababisha ndoa inaishia pabaya. Tumuombe Mungu aendelee kuwajalia wake zetu moyo wa uvumilivu, ili wasireact hivyo pale wanapogundua waume zao tumecheat...
Kweli kapata wa kumtoa uzuzu
Tabia hizi nimeziona sana kwa wanawake wenye fedha/kipato kikubwa kuliko mwanaume mambo yote ya nyumbani anamaliza mwanamke hivyo basi mwanamke anaonekana kichwa cha familia anamkalia juu mwanaume anabaki kuwa mwoga ananywea anakuwa ***** kabisa zezeta