nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
sina hakika kama kajifunza kitu huyo mama.
nafikiri haumizwi na ukweli kwamba matendo yake ni maovu bali anaumizwa na habari ya mumewe kuleta mwanamke mwingine.
nafikiri haumizwi na ukweli kwamba matendo yake ni maovu bali anaumizwa na habari ya mumewe kuleta mwanamke mwingine.