JAPHETtumpa
Senior Member
- Feb 25, 2012
- 136
- 35
Hivi nia na dhamira ya ndani ya ndugu meena ilikuewa ni nini,unapatwa na wasiwasi kwa sababu hawa ni watawala wanaweza kukudhadia chochote kutoka kwenye hadhina ya watanzania.hawa watawala hawana aibu eti!nahurumia sana tasnia ya habari kama hata watu kama kina meena wanajikuta wakijaribiwa na watawala katika jambo zito kama hili
naposema haya narejea kwenye apology aliyoifanya ndugu meena shortly baada ya nchimbi kuondoka sitaki kuamini kuwa ilikuwa ni msimamo wa wanahabari wote
naposema haya narejea kwenye apology aliyoifanya ndugu meena shortly baada ya nchimbi kuondoka sitaki kuamini kuwa ilikuwa ni msimamo wa wanahabari wote