Roho inauma sana unaposoma habari kama hii.
Je tunadhani Ngeleja ana ubavu wowote? Nilipata fununu kwamba alikuwa mwanasheria kipenzi wa RA na ndio aliemfinance kupta ubunge na offcourse kwa lengo la kupewa uwaziri.
Kama ni kweli bado tunazunguka mduara. (God forbid)
Cha kufanya ni kukusanya wananchi wenye kupenda nchi na SIASA ili wagombee nafasi, tuliobaki tuwaunge mkono kwa wingi wachukue nyadhifa muhimu.
Mbona Zimbabwe wanasogelea ukweli sasa?
Inawezekana, kwa madini haya, tutakuwa kama urusi siku moja.
Je tunadhani Ngeleja ana ubavu wowote? Nilipata fununu kwamba alikuwa mwanasheria kipenzi wa RA na ndio aliemfinance kupta ubunge na offcourse kwa lengo la kupewa uwaziri.
Kama ni kweli bado tunazunguka mduara. (God forbid)
Cha kufanya ni kukusanya wananchi wenye kupenda nchi na SIASA ili wagombee nafasi, tuliobaki tuwaunge mkono kwa wingi wachukue nyadhifa muhimu.
Mbona Zimbabwe wanasogelea ukweli sasa?
Inawezekana, kwa madini haya, tutakuwa kama urusi siku moja.