Revealed: Operation Bomoa CHADEMA Mbeya, Mpango Mzima Episode 1..

Namfahamu vizuri sana mkuu...........

George hafanyi biashara ya drugs,namfahamu tangu udogo wake....Alianzia kwenye Udigala(ununuzi wa dhahabu) taratibu akawa anakua katika biashara yake hiyo kiasi cha kuanzisha kampuni yake ya Two Drums G&C Company ambayo inajihusisha na ununuaji wa madini.....Baadaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha wachimbaji wadogowadogo wa mkoa wa Mbeya(MBEREMA)...

Hayo mengine ni uzushi tu a.k.a MAJITAKA

Ndugu Balatanda,

Majina aliyokabidhiwa JK yalitoka mikoa yote nchini...Mwaikela jina lake lilikuwapo toka mkoani Mbeya..anayeweza kutudhibitishia usafi wake ni yeye mwenyewe, hakuna muuza unga au muovu anayejitaja kwa jina, ni wananchi ndio waliopiga kura na wanawajua watu wanaoishi nao...kama anadeal au ha-deal na drugs, wewe si wa kumuwakilisha humu, waliompigia kura ndio wenye haki..tusirukie neno MAJITAKA kama wanasiasa uchwara, tunaangalia FACTUAL situations, JK apeleke majina polisi/vyombo vya usalama watoe majibu ya mwisho...
 
Huyu Shitambala si Msukuma wa Shinyanga au nakosea ..Mbeya ana Mifugo au Shamba la Mahindi???
 
Umeeleza vizuri kidogo juu mwisho umeishia kuwatukana watu wa Mbeya kwamba ni wabinafsi wanajari pesa,hapo ndiyo umeniacha hoyi kweli kwa hiyo hata chadema wanashabikiwa sababu ya pesa? wanahonga kuliko CCM eeee? Unamawazo mepesi sana!Mbaguzi mkubwa sana wewe! uwezo wako wa kufanya analysis unatia shaka sana! au kiwango chako cha Elimu ni kidogo Mno.

Ndugu Kajembe,

Funga break kidogo, lugha kali sana....anaweza kuwa sahihi kabisa, Mbeya kumeanza matatizo, kuna kijana wa UDSM,alikua spika wa wanafunzi, na yeye kanunuliwa, halafu anatoka Mbeya....
 
Ndugu Butola, changamsha ubongo utambue kwamba;

1. Shitambala, LL.M "ALIJIAPISHA" mwenyewe kwa sababu aliyemuapisha ni WAKILI kama yeye, wakati sheria haitamki hivyo, that means alifanya makusudi!!...WANASHERIA wanaweza kutusaidia kwenye hili...

Shitambala hajatafuta UBUNGE kwa jitihada zake, zilitosha sana ndio maana alikataa MAWAKALA!!????

Malengo ya kisiasa atakayoyatimiza CCM na si CDM ni yapi?? Acha poor reasoning, kama ni malengo ya dhati alitakiwa ayatimilize akiwa CDM, nani yupo CCM kwa maslahi ya Taifa??

Heshima kwako Mdau!!

Kwa hiyo mkuu kwa kuwa aliapishwa na EVARIST MARTIN MASHIBA ambaye ni WAKILI kama alivyo SHITAMBALA, therefore SHITAMBALA alijiapisha mwenyewe? hii reasoning sio mchezo, nakuvulia kofia kwa hilo mkuu!!

Hayo mengine ni hisia zako na una haki ya kufikiri vile unavyodhani, sina haja ya kurudia.

By the way, vip mkutano wa Kandete ulikwendaje?
 
Maelezo Mafupi ya Shitambala, Raia Mwema April 20:

“Hicho chama nilikuwa naendesha kama kampuni binafsi. Kwani nilikuwa natoa fedha yangu mfukoni, na hawawezi kunikwamisha mimi, wanatumika katika siasa za kikanda, na hapo wanayemtumia ni mmoja, anatumika na watu wa Kaskazini, sasa amepanga kwenda kwa Mwandosya, (Profesa Mark, Waziri wa Maji). Nilimuonya kwamba hao wenzetu wa Kaskazini hawawagusi ministers wao, nimetumia zaidi ya shilingi milioni 200 kukisaidia chama, kuwapromote kina Silinde na Sugu.
 
" you can fool all the people sometime but, you can not fool all the people always" shitambala ataisoma cdm mb na kujua kuwa kuondoka kwake hakutaadhiri chama kwa chchote. Ni heri kuwa na wanachama wa ukweli wachache kuliko kuwa na lundo la vibaraka
 
Maelezo Mafupi ya Shitambala, Raia Mwema April 20:

"Hicho chama nilikuwa naendesha kama kampuni binafsi. Kwani nilikuwa natoa fedha yangu mfukoni, na hawawezi kunikwamisha mimi, wanatumika katika siasa za kikanda, na hapo wanayemtumia ni mmoja, anatumika na watu wa Kaskazini, sasa amepanga kwenda kwa Mwandosya, (Profesa Mark, Waziri wa Maji). Nilimuonya kwamba hao wenzetu wa Kaskazini hawawagusi ministers wao, nimetumia zaidi ya shilingi milioni 200 kukisaidia chama, kuwapromote kina Silinde na Sugu.

Butola, kwenye makala hiyohiyo kuna haya maelezo pia, uliyasoma???

"...Zaidi ya hapo ni tukio linaloelezwa kuongeza ufa ndani ya CCM baada ya baadhi ya wananachama wake, hususan, vijana, kupinga kitendo cha chama hicho kumtukuza mgombea huyo wa Jimbo la Mbeya Vijijini katika uchaguzi mdogo na Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo aliwanyima usingizi ilipobainika aliungwa mkono na wapiga kura wengi jimboni humo.
Vijana hao wanaonyesha hasira zao dhidi ya hatua ya chama chao kuwakumbatia zaidi wale wanaohamia kutoka vyama vya upinzani huku kikiwatelekeza wao ambao ndio wamekuwa wakikipigania wakati wote wa hali ngumu, wamesambaza vipeperushi mkoani Mbeya vilivyotawala mapokezi ya Shitambala yaliyoandaliwa na CCM akitokea Dodoma alikojivua gamba lake pomoja na chama chake hicho kipya.
Sehemu ya ujumbe uliomo kwenye vipeperushi hivyo vinavyoelezwa vimesambazwa na vijana wa CCM mkoani Mbeya unasema: "Sisi wana CCM Mbeya hatujaridhishwa na kununuliwa kwa Shitambala. Huyo hafai kabisa, amejaa ukabila- angalia ofisi yake kaajiri Wasafwa tu. Ameamua kubeba udini, amebadili dini ili kuisema CHADEMA, ni mzembe na ana tamaa ya madaraka," kisha wanahoji wakisema: "Tunauliza hivi ndani ya CCM hatuna watu wa kutumia pesa za chama hadi watu watoke upinzani ndio wafaidi ruzuku ya CCM? Wana- CCM Mbeya hatuko tayari kunyanyaswa kiuchumi na kisaikolojia. Wametuhamasisha kumpokea hatutaki hata kama anakuja na Malecela (John, makamu mwenyekiti wa zamani wa CCM).
Na katika kile kilichoshangaza wengi jijini Mbeya kiasi cha kuamini ujumbe huo uliandaliwa na wananchama wa CCM, ni hatua ya mapokezi ya Shitambala kufanyika kwenye viwanja vya Kibondenyasi vilivyoko Uyole katika Jimbo la Mbeya Mjini ambalo Mbunge wake ni Joseph Mbilinyi badala ya Mbalizi katika Jimbo la Mbeya Vijijini ambako ndiko alikogombea mara mbili na kushindwa katika mazingira ambayo hadi leo wengi hawayaamini..."
 
Kandete ckwenda,lakini tky mjini,umati ulikuwa wakutosha sana,cha kufurahisha zaid ya raia 80,wamerudisha kad za magamba

By the way, vip mkutano wa Kandete ulikwendaje?[/QUOTE]
 
Almost wote mnaongea kitu kimoja na kilekile, uhusiano wa CCM ya kikwete na wauza Madawa upo mbali sana; Huyu Waberoya hajui lolote ni mpiga kelele tu, kwa sababu amejijenga katika akili ya utumwa.

Mtoa taarifa ametoa taarifa iliyo sahihi na confidence ya 98%.

Ki ukweli Shitambala ni mwana mapinduzi ila hapa kupitia kwa nduguze na rafikize wa karibu hakuwa na ujanja! alikubali yaishe. Ila pia katika mjadala wenu mkumbuke kuwa Mbeya mjini Wakinga pia wananguvu kubwa nduguze Thomas Nyimbo.

Swala la Prof Mwanandosya kwa Mbeya ni Tata kwasababu wazee wa kyera bado wana ndoto ya urais, labda hii operation vua magamba inaweza kumpa nafasi Mwandosya ndani ya CCM! Ila kiukweli hana chake hadi sasa, katika siasa za Tanzania msije mkamdharau Kikwete, anaonekana mjinga ila ni strategical anajua analofanya na yamkini anafanikisha kama alivyopanga. Kumbukeni ana nguvu nyingi nyuma yake ya fedha za Madawa ya kulevya na Petrol, wengine kawapa hadi Ubalozi! na kwa makusudi watu wamepiga kelele za Ufisadi lakini hakutikishika hatakidogo hadi muda wake unaenda pomoni, alitia sikio pamba na kuwalinda hao watu kwa gharama lolote hii ni dhahiri kuwa Mwandosya hata fuwa dafu katika kura za maoni za mwaka huu hapo ndipo mtajua kwanini Bakwata wanampendea nini Kikwete!

Mwanandosi kama yupo makini siasa za CCM haziwezi pia hazimfai ni lazima afikirie upya mpango wake. watu amabao bado wanatafakari hatima ya Tanzania kwa historia kama Waberoya hawana nafasi tena, wakae pembeni waone treni inavyopasua njia. Vita vya kudai uhuru haviitaji watu wenye upeo wa utwana wa akili, maana wao reference na advocacy yao ni Mabwana wao tu. Tanzania imeenda mbali sana kama kuna kuvuka mawazo hayo mawazo ya wakina Prof Mkandara. Sasa ni vita kati ya mwenye njaa na aliye shiba, hata Moi alikuwa mbishi lakini ipo watu KANU leo?

CCM inawakati mgumu sana maana walikwisha weka mazingira kila kona kuwa mgombewa wao ni EL, leo hii wanamwita gamba, watatoa mgombe wapi wakati walikwisha wachafungia wengine wote chumbani!
 
Nimesoma kwa umakini posts zote zilizopita, nimebaini kuwa ''mdau'' anazijua na bila shaka anazishiriki siasa za Mbeya. Nazifahamu kiasi kikubwa sana siasa za Mbeya naungana 100% na hoja za mdau. Pamoja na hayo nataka nichangie kuhusu baadhi ya mambo kama ifuatavyo:

Mr. Mwaikela: Kuna watu wanashangaa eti std 7 kuwa karibu na JK. Mwaikela hajaanza ''kugusana mabega'' na JK- yeye ni mzoefu na marais alianza na Dr. Salmini Juma na mwanaye- mwisho wake wakamfunga jela huko ZNZ

Umaarufu wa Mwaikela ulianzia wakati wa Aden Mwamunyange- Ex msemaji wa polisi, pia alikuwa na mahusiano ya karibu sana na Mwansasu ex CFO wa jeshi la polisi. Kwa kutumia mwanya wa vigogo hao ameendelea kuwa karibu na viongozi hata wa polisi wa sasa- hivyo they guy is untouchable. Kimsingi yeye ndio hutake care family problems nyingi za viongozi wengi wa Mby walioko Dar kama misiba, harusi etc.

Sitashangaa sana yy kujiunga na Mwandosya, maana ni majirani sana kama CRDB Lumumba na CCM lumumba, pia Mwandosya kagundua ili apate urais lazima apige magoti kwa JK. Na kufanya hivyo lazima ajiunge na atumike na watu walio jirani na JK kama Mwaikela.

Mwaikela is a hard worker, mjasiliamali, hana majivuno anaongea na kila mtu - ia yeye yupo kibiashara zaidi, yupo tayari kufanya lolote (kumpiga bei Shitambala) kwa CCM ili mambo yake yawe sawa. Mwaikela ni bingwa wa kuuza dhahabu, na vijana wake siku za nyuma wakiiuza '' sana zile ''Kakumba'' hivyo haishangazi kuwauzia CCM shitambala (kakumba) kwa bei kubwa wakati hamna kitu pale.

Shitambala:
Unaweza kurejea posts zangu za nyuma baada ya ule uchaguzi wa mwanzo kujaza nafasi ya Nyaulawa, niliwatahadharisha CDM kuwa Shita ni ''malaya'' wa kisiasa hata umpe nini, umridhishe namna gani atatoka nje ya ndoa tu kwa visenti kidogo kuliko utakavyompa na mwishowe atakuacha. Yeye mwenyewe hajawahi kukanusha kuuza ushindi, ila ukimuuliza anasema alitumia pesa zake na kujitolea sana CDM. Kwahiyo wale wanomtetea kuwa hakuuza ubunge hawamtendei haki Shita; maaana yeye hajawahi kukanusha.

Shitambala aliuza ubunge mara mbili hiyo hata nafsi yake inamsuta- kama wewe ni great thinker huna hana haja ya kujiuliza- unataka ushahidi upi? angalia circumstancial evidence kama huamini tunachosema.

Kimsingi siasa za Mbeya mjini ni sawa na Kyela na Chunya. Mbeya mjini kwa asili wanapenda upinzani bila kujali mgombea ni nani. Uchaguzi uliopita yule mzee Kisonga sio maarufu kabisa Mby lakini alitoa upinzani mkubwa sana kwa Mpesya ingawa aligombea kwa ''moribund party'' TLP. Rejea vuguvugu la Mrema Mbeya 1995 hadi NCCR wakashinda Mbeya mjini. Ukiacha uchaguzi wa mwaka 2010, wapinzani wamekuwa wakishinda majimbo ya Chunya na Kyela isingekuwa kuchakachua.

CDM bado wana nafasi kama chama watamua kuelekeza nguvu Mbeya, sugu bado hajakomaa katika kuendesha siasa baada ya uchaguzi ambapo mihemuko na hamasa zinakuwa zimepoa. CDM taifa lazima wahakikishe wanatupia jicho Mbeya mara kwa mara. Ikiwezekana mikakati ya kina Lema (kuhusu Elimu) akajaribu kuikopi na kupesti.

Mwandosya na Mwakyembe kwa sasa hawezi kuiva maana'' the friend of your enemy is your enemy. Ukaribu wa Prof na JK unampa mashaka DR ambaye kimsingi ni paka na panya na JK. Mbaya mkubwa wa Prof. kimsingi hakuwa JK bali Lowasa kwa sababu ya Urais. isitoshe Prof na Dr wote wanajiona ni president material

The NEXT time bomb kwa CDM ni Prof Safari, huyu kajiunga akiwa na TORs kabisa- kumbuka haya maneno yangu Mungu akitupa uhai
 
Nimesoma kwa umakini posts zote zilizopita, nimebaini kuwa ''mdau'' anazijua na bila shaka anazishiriki siasa za Mbeya. Nazifahamu kiasi kikubwa sana siasa za Mbeya naungana 100% na hoja za mdau. Pamoja na hayo nataka nichangie kuhusu baadhi ya mambo kama ifuatavyo:

Mr. Mwaikela: Kuna watu wanashangaa eti std 7 kuwa karibu na JK. Mwaikela hajaanza ''kugusana mabega'' na JK- yeye ni mzoefu na marais alianza na Dr. Salmini Juma na mwanaye- mwisho wake wakamfunga jela huko ZNZ

Umaarufu wa Mwaikela ulianzia wakati wa Aden Mwamunyange- Ex msemaji wa polisi, pia alikuwa na mahusiano ya karibu sana na Mwansasu ex CFO wa jeshi la polisi. Kwa kutumia mwanya wa vigogo hao ameendelea kuwa karibu na viongozi hata wa polisi wa sasa- hivyo they guy is untouchable. Kimsingi yeye ndio hutake care family problems nyingi za viongozi wengi wa Mby walioko Dar kama misiba, harusi etc.

Sitashangaa sana yy kujiunga na Mwandosya, maana ni majirani sana kama CRDB Lumumba na CCM lumumba, pia Mwandosya kagundua ili apate urais lazima apige magoti kwa JK. Na kufanya hivyo lazima ajiunge na atumike na watu walio jirani na JK kama Mwaikela.

Mwaikela is a hard worker, mjasiliamali, hana majivuno anaongea na kila mtu - ia yeye yupo kibiashara zaidi, yupo tayari kufanya lolote (kumpiga bei Shitambala) kwa CCM ili mambo yake yawe sawa. Mwaikela ni bingwa wa kuuza dhahabu, na vijana wake siku za nyuma wakiiuza '' sana zile ''Kakumba'' hivyo haishangazi kuwauzia CCM shitambala (kakumba) kwa bei kubwa wakati hamna kitu pale.

Shitambala:
Unaweza kurejea posts zangu za nyuma baada ya ule uchaguzi wa mwanzo kujaza nafasi ya Nyaulawa, niliwatahadharisha CDM kuwa Shita ni ''malaya'' wa kisiasa hata umpe nini, umridhishe namna gani atatoka nje ya ndoa tu kwa visenti kidogo kuliko utakavyompa na mwishowe atakuacha. Yeye mwenyewe hajawahi kukanusha kuuza ushindi, ila ukimuuliza anasema alitumia pesa zake na kujitolea sana CDM. Kwahiyo wale wanomtetea kuwa hakuuza ubunge hawamtendei haki Shita; maaana yeye hajawahi kukanusha.

Shitambala aliuza ubunge mara mbili hiyo hata nafsi yake inamsuta- kama wewe ni great thinker huna hana haja ya kujiuliza- unataka ushahidi upi? angalia circumstancial evidence kama huamini tunachosema.

Kimsingi siasa za Mbeya mjini ni sawa na Kyela na Chunya. Mbeya mjini kwa asili wanapenda upinzani bila kujali mgombea ni nani. Uchaguzi uliopita yule mzee Kisonga sio maarufu kabisa Mby lakini alitoa upinzani mkubwa sana kwa Mpesya ingawa aligombea kwa ''moribund party'' TLP. Rejea vuguvugu la Mrema Mbeya 1995 hadi NCCR wakashinda Mbeya mjini. Ukiacha uchaguzi wa mwaka 2010, wapinzani wamekuwa wakishinda majimbo ya Chunya na Kyela isingekuwa kuchakachua.

CDM bado wana nafasi kama chama watamua kuelekeza nguvu Mbeya, sugu bado hajakomaa katika kuendesha siasa baada ya uchaguzi ambapo mihemuko na hamasa zinakuwa zimepoa. CDM taifa lazima wahakikishe wanatupia jicho Mbeya mara kwa mara. Ikiwezekana mikakati ya kina Lema (kuhusu Elimu) akajaribu kuikopi na kupesti.

Mwandosya na Mwakyembe kwa sasa hawezi kuiva maana'' the friend of your enemy is your enemy. Ukaribu wa Prof na JK unampa mashaka DR ambaye kimsingi ni paka na panya na JK. Mbaya mkubwa wa Prof. kimsingi hakuwa JK bali Lowasa kwa sababu ya Urais. isitoshe Prof na Dr wote wanajiona ni president material

The NEXT time bomb kwa CDM ni Prof Safari, huyu kajiunga akiwa na TORs kabisa- kumbuka haya maneno yangu Mungu akitupa uhai

Mwambie Butola na Waberoya maneno haya,,,wamezoea habari za magazeti na kujenga hoja kutokea hapo....kuna mwingine Mbeya atahama CHADEMA soon, si maarufu kama Shitambala, lakini ana kashfa za kuhongeka kirahisi na pia kutembea na vibinti vidogo vya shule,,,wait....

Tujuze kidogo, Prof Safari ni TIME BOMB??? Why not Mabere Marando??
 
jamani mliopo Mbeya mtueleze ukweli wa habari kwamba mwenyekiti wa chama wilaya ana kesi ya kubaka mwanafunzi na ameahidiwa na CCM kushinda kesi hivyo basi Shitambala ndio aliyemuwekea dhamana polisi???
 
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko ccm kujivua magamba. Haya yote bado ni magamba na mkulu wa chama cha magamba anazipenda hizi kweli tangu wakati wa mtandao sasa anauita mtandao magamba wakati ndio umempeleka white house, anyway ccm wasihangaike na chadema wangalie magamba yao, chadema ni taasisi kwahiyo wenyewe wanatarget watu hao wanaodhani wameshika chadema that is very wrong-chadema ni falsafa na sera zake na wanavyoziishi. Wachukue hata yeyote wanayedhani ni mhimili chadema will remain new blood will step in na kuendeleza falsafa.
 
Back
Top Bottom