REVEALED: Mgao wa umeme kuendelea mpaka mwaka 2013!

RICH-MONDULI

New Member
Jul 5, 2011
4
5
Maumivu ya mgao wa umeme yataendelea mpaka mwaka 2013 ambapo kampuni za Pan African Energy na Songas zitakapokuwa zimewekeza kwenye miundombinu ya kuzalisha na kusafirisha gesi ya ziada mpaka Dar itakayowezesha kuzalishwa kwa umeme zaidi. Cha ajabu na kusikitisha ni kuwa serikali imeagiza mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya 100MW kutumia gesi huku kukiwa hakuna gesi hiyo ya kuzalisha umeme. Hata Symbion (a.k.a new Richmond/Dowans) inazalisha 60MW tu wakati ina uwezo wa kuzalisha 112MW kutokana na upungufu wa gesi.

Huko Kenya wanajenga flyovers, Rwanda wanasonga mbele, Uganda wanaimarika na utajiri wa mafuta. Uchumi wa Tanzania kuendelea kudumaa kwa miaka ijayo kutokana na kukosa umeme. Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akiulizwa tatito ni nini anasema ni ukame, si kosa la mtu kutokuwepo kwa umeme. Nchi inakufa!

Power rationing to continue until 2013

SCANDAL AS TANESCO PURCHASES GAS-FIRED TURBINES
WHILE THERE IS NO GAS TO RUN THE POWER GENERATORS

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

TANZANIANS will continue to suffer from crippling energy deficits for the next coming years, with no immediate end in sight for the ongoing power rationing, it has been revealed.

According to well-placed government officials, the nationwide power cuts will likely continue until at least the year 2013 due to a combination of reasons, including corruption, poor planning and bad leadership.

The current shortfall of electricity in the national power grid stands at 260-megawatts, prompting the Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) to introduce rolling power cuts since December last year.

A new 100MW power plant being built in Dar es Salaam by Jacobsen Elektro AS, a Norwegian energy company, is expected to be commissioned by TANESCO in December this year but the plant will not operate at full capacity.

"TANESCO last week took journalists on a tour of the Dar es Salaam port to witness the arrival of the first consignment of the power turbines. But the big scandal is that there is no gas to fuel these generators," said an official close to the government.

"This costly power plant purchased for $120 million will lie idle until the year 2013 when there will be enough gas to run the turbines."

Government officials told THISDAY the power turbines imported by TANESCO run exclusively on natural gas.

"Instead of purchasing dual turbines that run on both natural gas and heavy fuel oil, the turbines purchased by TANESCO are gas-fired only," said an official close to TANESCO.

Symbion Power LLC, which owns a 112MW power plant at Ubungo purchased from Dowans Holdings, is currently producing just 50 percent of its capacity because of shortages of natural gas.

The US company is generating 60MW, while the rest of its capacity remains unused due to inadequate gas supplies despite the national power crisis.

"Suppliers of natural gas are holding the government to ransom," said one government official.

TANESCO has been forced to ration power on several occasions when Pan African Energy, the main supplier of natural gas from Songosongo island, shuts down its wells from time to time.

On the other hand, Songas Limited said last week it will take a couple of years for the company to expand its gas supply to Dar es Salaam.

The chairman of the parliamentary energy and minerals committee, January Makamba, also warned that the new 100MW gas-fired power plant expected to be commissioned by TANESCO could become a "white elephant" because of gas shortages.

Makamba also faulted TANESCO's plans to install a 60MW power plant in Mwanza that will run on heavy fuel oil.

He noted that transporting oil from Dar es Salaam port to Mwanza over a distance of more than 1,200 kilometres would be a logistical nightmare for the public utility.

“This is just poor planning and bad leadership by government officials. How do they build a 60MW power plant in Mwanza and transport its fuel all the way from Dar es Salaam. Why don’t they build the power plant in Dar es Salaam to save massive oil transportation costs?” Said one independent energy crisis.

Several MPs, including Anne Kilango (Same East-CCM), criticised the government for abandoning major power projects such as Stiegler's Gorge (2,100MW) in favour of small emergency power projects that generate 100MW.

Well-placed sources have revealed to THISDAY that corruption and bureaucracy has been sabotaging the development of the Stiegler's Gorge project.

The government has added just 145MW of electricity to the national power grid since 2006, but now claims it will boost energy output by more than 2,700MW in the next five years.

The Minister for Energy and Minerals, William Ngeleja, who tabled his ministry's 2011/12 budget estimates last Friday is expected to wind-up debate on the proposals today.

<Source: THISDAY, July 17, 2011>
 
Mwaka 2006 Edward Lowassa angefanya maamuzi magumu na kukataa kupokea mlungula wa Rostam Aziz na kutoa tenda kwa Richmond, hii nchi isingekuwa kwenye matatizo haya sasa hivi. Lowassa alaaniwe kwa kuiletea maafa nchi hii, na wote wanaosema alikuwa kiongozi bora wapelekwe Mirembe kupimwa akili.

Serikali iliyopo madarakani ni laana kubwa kwa Watanzania. Wananchi wanajuta kuzaliwa kwenye nchi hii.
 
umeyasikia ya mahakamani kisutu jana,bado mnadhani mwakyembe na sitta team walimsaidia jk kumgombanisha na lowassa?
Tuwe huru kifikra lakini wahenga walisema kuna wawinda ndege na wawinda tembo, hawa ni watu wawili tofauti ktk uwindaji.
mwaka 2006 edward lowassa angefanya maamuzi magumu na kukataa kupokea mlungula wa rostam aziz na kutoa tenda kwa richmond, hii nchi isingekuwa kwenye matatizo haya sasa hivi. Lowassa alaaniwe kwa kuiletea maafa nchi hii, na wote wanaosema alikuwa kiongozi bora wapelekwe mirembe kupimwa akili.

Serikali iliyopo madarakani ni laana kubwa kwa watanzania. Wananchi wanajuta kuzaliwa kwenye nchi hii.
 
umeyasikia ya mahakamani kisutu jana,bado mnadhani mwakyembe na sitta team walimsaidia jk kumgombanisha na lowassa?
Tuwe huru kifikra lakini wahenga walisema kuna wawinda ndege na wawinda tembo, hawa ni watu wawili tofauti ktk uwindaji.

Mahakama za Tanzania zinanuka rushwa, huwezi kutegemea kupata haki mahakani bali maamuzi ya mahakama hununuliwa kwa pesa. Huyo Lowassa wenu hawezi kukwepa ufisadi wa Richmond, angeacha tamaa zake za utajiri na kuwa mwadilifu bado angekuwa serikalini sasa hivi na kuwa na nafasi ya 2015. Sasa hivi hana nafasi tena, kwishnei!

Lowassa pamoja na serikali nzima ya Kikwete wanastahili kubeba lawama kwa haya maumivu ya mgao wa umeme tunayopata sisi Watanzania
 
Mahakama za Tanzania zinanuka rushwa, huwezi kutegemea kupata haki mahakani bali maamuzi ya mahakama hununuliwa kwa pesa. Huyo Lowassa wenu hawezi kukwepa ufisadi wa Richmond, angeacha tamaa zake za utajiri na kuwa mwadilifu bado angekuwa serikalini sasa hivi na kuwa na nafasi ya 2015. Sasa hivi hana nafasi tena, kwishnei!

Lowassa pamoja na serikali nzima ya Kikwete wanastahili kubeba lawama kwa haya maumivu ya mgao wa umeme tunayopata sisi Watanzania

hebu msituzingue hapa matatizo ya umeme hayatokani na richmond pekeyake..... Lowasa alijitahidi kupush mambo yaende sawa watu wapate umeme wengine wakapata mahala pa kumtoa kafara.. si ndo hiyo mitambo ya dowans (symbion) inayozalisha umeme kwa sasa... mbona kina mwakyembe walisema haina uwezo wa kuzalisha umeme na isitoshe mkulu JK alisema hela ya richmond kaizuia? wakulaumiwa ni sita na mwakyembe wanafki wakubwa.
 
hebu msituzingue hapa matatizo ya umeme hayatokani na richmond pekeyake..... Lowasa alijitahidi kupush mambo yaende sawa watu wapate umeme wengine wakapata mahala pa kumtoa kafara.. si ndo hiyo mitambo ya dowans (symbion) inayozalisha umeme kwa sasa... mbona kina mwakyembe walisema haina uwezo wa kuzalisha umeme na isitoshe mkulu JK alisema hela ya richmond kaizuia? wakulaumiwa ni sita na mwakyembe wanafki wakubwa.

Wewe kweli akili zako Zagazaga, yaani unajaribu kufuta ukweli wa historia na kudai eti Lowassa hana kosa kwenye Richmond?! Pamoja na jitihada zenu, ukweli utabaki palepale daima. Lowassa hachomoki kwenye kashfa ya Richmond kwani yeye akiwa kama Waziri Mkuu ndiye aliye push tenda wapewe Richmond wakati wataalamu wa TANESCO walisema wazi kabisa tangu awali kuwa Richmond hawana uwezo wa kuzalisha umeme. Msalaba wa Richmond Lowassa ataubeba milele na stahili yake kutokana na kuhusika na kashfa hiyo. Hili wote mnaodhani atarejea tena kutawala nchi hii bora mrudi usingizini, kuna viongozi wengi wenye maadili safi ya uongozi na uchapakazi wanaoweza kazi hiyo, si mpenda mali na mwenye kuchafuka kama Lowassa wenu.

Bottom line, matatizo ya umeme si Lowassa peke yake wala si Richmond tu, bali ni serikali nzima za Kikwete kutokuwa makini kukabiliana na tatizo hili. Ila ukweli utabaki palepale, Lowassa kuliingiza taifa mkenge na mkataba wa Richmond kumezidisha matatizo ya umeme nchini.
 
Maumivu ya mgao wa umeme yataendelea mpaka mwaka 2013 ambapo kampuni za Pan African Energy na Songas zitakapokuwa zimewekeza kwenye miundombinu ya kuzalisha na kusafirisha gesi ya ziada mpaka Dar itakayowezesha kuzalishwa kwa umeme zaidi. Cha ajabu na kusikitisha ni kuwa serikali imeagiza mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya 100MW kutumia gesi huku kukiwa hakuna gesi hiyo ya kuzalisha umeme. Hata Symbion (a.k.a new Richmond/Dowans) inazalisha 60MW tu wakati ina uwezo wa kuzalisha 112MW kutokana na upungufu wa gesi.

Huko Kenya wanajenga flyovers, Rwanda wanasonga mbele, Uganda wanaimarika na utajiri wa mafuta. Uchumi wa Tanzania kuendelea kudumaa kwa miaka ijayo kutokana na kukosa umeme. Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akiulizwa tatito ni nini anasema ni ukame, si kosa la mtu kutokuwepo kwa umeme. Nchi inakufa!

wacha tuendelee kuwa wateja wa tochi. hapo ndipo wanapoirahisishia chadema kuchua nchi bila jasho
 
Mwaka 2006 Edward Lowassa angefanya maamuzi magumu na kukataa kupokea mlungula wa Rostam Aziz na kutoa tenda kwa Richmond, hii nchi isingekuwa kwenye matatizo haya sasa hivi. Lowassa alaaniwe kwa kuiletea maafa nchi hii, na wote wanaosema alikuwa kiongozi bora wapelekwe Mirembe kupimwa akili.

Serikali iliyopo madarakani ni laana kubwa kwa Watanzania. Wananchi wanajuta kuzaliwa kwenye nchi hii.
Richmond ni kichaka tu cha kujifichia, tatizo halikuanzia hapo.. Mbona hujiulizi mipango ya maendeleo ya umeme ni mw100 na si zaidi ya hapo? Kama tatizo lilikuwa ni EL basi sasa tungeona serikali ikija na miopango kama ya stiglers gorge, tusidanganyike na hiyo hadithi, tumeliwa richmond kwaajili ya ujinga wa kuwekeza kwenye miradi ya zimamoto na sio miradi ya muda mrefu yenye tija kwa taifa letu.

Miaka mingapi tangu EL aondoke madarakani tatizo bado linaendelea... ilipaswa kama tatizo ni yeye lingeisha mara baada ya yeye kujiuzulu.. tatizo hapa ni mfumo mzima wa serikali yetu.
 
Richmond ni muendelezo tu wa madudu ambayo serikali imekuwa ikifanya kwenye sekta ya umeme. Lowassa kweli alifeli mtihani wa uongozi pale swahiba wake Rostam Aziz alipomfuata na kumwambia apitishe mradi wa Richmond. Alishindwa kufanya maamuzi magumu na kumwambia Rostam "HAPANA!" maslahi ya nchi mbele. Badala yake alipush kampuni feki ipewe mkataba na matokeo yake sote tumeyaona.

Lowassa anahusika katika matatizo yanayoendelea ya umeme kwani alikuwa Waziri Mkuu na akashindwa kupata ufumbuzi wakati mgao wa kwanza wa umeme ulipoanza mwaka 2006 na badala yake akaingia kwenye Richmond. Lakini lawama kubwa ziende kwa Rais Kikwete kwani tangu kuondoka kwa Lowassa mpaka leo nchi iko pale pale gizani. Kikwete aliporudi kutoka Spain mwaka 2006 huku mgao wa umeme mkubwa ukiitafuna nchi, kwenye mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari Ikulu neno la kwanza lilikuwa anafanya mpango Real Madrid waje kutalii Tanzania, badala ya kuzungumzia jinsi ya kukabiliana na mgao wa umeme.
 
"Corruption,poor planning and bad leadership"....natamani kumwaga chozi!

Huyu ndo rais anayesema nje wanamsifia? hata mipango ya dhararu inawashinda? sasa wataweza nn make inaeleweka ya mda mrefu ni ndoto sasa kumbe hata ya dharura? JK ni hasara kwa taifa na yawezekana pia akawa ni mzigo ktk familia yake
 
Tatizo ni mfumo wa serikali ya magama full coruption frm top to ze bottom wajinemesha wao tu bila kuangalia wanainchi wanavyopata shida watu wengi hapa Tz wanategemea umeme kuendesha shughuli zao za kiuchumi ili wapate kula.
 
Ni kweli kabisa, mwaka 2013 ndio mgao utaanza kuisha. Hii ni kwa sababu mkuu wa nchi ameanza kufanya biashara ya MAFUTA YA TAA baada ya mwanae kuhodhi soko la dizel. Ndio maana kwa sasa bei ya dizel ni sawa na mafuta ya taa. Mkuu katengeneza dili la kustafia. Umeme tusahau rangi yake. Sasa hivi mwenye vibatar vitatu ni sawa na mwenye gari la dizel.
 
Back
Top Bottom