Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Tatizo la Wasomi wengi wa Nchi hii ni waoga na wanafiki wakubwa...kisikia kunguru anakimbia nae anakimbia kuelekea asikokujua...Madaktari walisema huduma za afya ni mbovu hilo halina shaka wala huhitaji kuwa na PHD kulijua hilo...sasa ghafla hao hao jitu lingne linasema tunaomba msamaha tutatibu..sasa je vifaa tiba mlivyolalamikia vimeletwa?!! je wagonjwa sasa wanalalal mmoja kitandan au 4!! kama sivyo basi nyie ni wasomi njaa milikua mnacopy assignment za wenzenu mnafaulu kichwani peupeeee..ovyo kabisa,
swali la kujiuliza ni watu wangapi wanapata Tiba stahiki hapa Tz?!! wakubwa na mafisadi wao waaenda nje huduma ziko safi na bora nyie mnakalia kupiga mayowe tukasema labda mtakazia mafisadi wanunue vifaa wote tutibiwe hapa kwa uzuri kumbe nyie nao hovyo kabisaaa...yaani wanafiki kama nyie mbingu mtaisikia tu..
Maswali mazuri na muhimu hayo kamanda.
Majuzi Mh: Mbowe aliainisha masikitiko na mshangao wake mkubwa juu woga wa watanzania. Watu walioko DMV, Houston ambako ni maelfu ya kilomita kutoka Magogoni bado wanaiogopa CCM, in fact wanaogopa kivuli?! Bado wanaendeleza unafiki wangali ktk nchi ambayo ina kiwango kikubwa sana cha demokrasia na utawala wa sheria, ie Marekani.
So hii hulka yetu tena iko kwenye DNA. Mtu mwoga ni mwoga tu, no amount of schooling could change that. It's a sad fact yet again demonstrated by those puppets.