REVEALED: Degree ya Waziri William Lukuvi ni feki!

Status
Not open for further replies.
hon lukuvi is but there as a representative. a substantial no. of bureaucrats in tanzania fall under the same ambiguity.
 
Hii ya sisi Watanzania kupenda sana kuona elimu za juu ndio inawafanya waheshimiwa wengi hata ku forge vyeti au kununua vyeti.

Elimu ni muhimu na inasaidia kwenye utendaji lakini sio the most important factor kwenye kuchapa kazi.

Si tumeona maprofesa wetu walivyochemsha kwenye wizara walizokuwa wanaongoza?

Nafikiri tuweke umuhimu mkubwa kwenye utendaji. Mrema alifanya kazi nzuri sana wakati hata hakuwa na degree. Tulivyoanza kutaka kulazimisha rais awe na degree Mrema akaamua kwenda kununua degree ya kwenye mitandao.

Yes elimu ni muhimu lakini kutokuwa na elimu kubwa sana sio kikwazo cha kufanya mtu ashindwe kufanya kazi za kuongoza nchi au kampuni.
 
Hivi nyie watu, does it real matter mtu kuwa na degree ili awe kiongozi? Mbona tuna maprofessor kibao wamepewa nafasi wakafanya madudu kabisa? Si bora hata huyo Lukuvi ameonyesha kwa vitendo kwamba anao uwezo wa uongozi hata kama hana kisomo kikubwa?
Ndugu zangu kula sana kitabu hakuna uhusiano wowote na karama ya mtu katika uongozi. Tumpe nafasi, tupime ufanisi wake, then tulinganishe na shule yake.

Sawa twakubaliana nawe lakini ktk profile yake aseme wazi juu ya elimu yake ili tum-judge kwa elimu hiyo-ok!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni bora tukaongozwa na mtu ambaye tunajua hana viwango vya elimu lakini ana uwezo wa kuongoza badala ya kuongozwa na mdanganyifu wa elimu ilihali hajui kuongoza
Sasa Lukuvi anaangukia katika kundi gani hapo?
 
mm sio mpanbe wa LUKUVI ila hii ndo info iliyo kwenye Mwananchi ya leo
Elimu: Stashahada ya Sayansi ya siasa, Urusi (Diploma in Political Science -USSR 1982 -1983 ), Cheti cha Ualimu, Cha Ualimu Tabora (1979) Chati cha Masuala ya Usalama, (Iringa Training in Defence and Security 1980)

sasa hii ya Washington International University - USA haikuonyeshwa

Tembelea website ya Bunge hii hapa ujionee:

Parliament of Tanzania
 
Msanii, UWT ipo na tena ipo makini sana. Kwa kazi moja tuu,kuiba kura za wengine ili kuhakikisha waliopo madarakani hawaondoki hata kama wananchi hawawataki.
Inawezekana nao vyeti vya kughushi ndo maana hawawezi kumkamata mwenzao! In short hakuna wa kumfunga paka kengere! Ndo maana wanatumiwa hata kwenye shughuli nyingi za kihalifu kama kuiba kura... Lol poor My country Tanzania
 
Hii ya sisi Watanzania kupenda sana kuona elimu za juu ndio inawafanya waheshimiwa wengi hata ku forge vyeti au kununua vyeti.

Elimu ni muhimu na inasaidia kwenye utendaji lakini sio the most important factor kwenye kuchapa kazi.

Si tumeona maprofesa wetu walivyochemsha kwenye wizara walizokuwa wanaongoza?

Nafikiri tuweke umuhimu mkubwa kwenye utendaji. Mrema alifanya kazi nzuri sana wakati hata hakuwa na degree. Tulivyoanza kutaka kulazimisha rais awe na degree Mrema akaamua kwenda kununua degree ya kwenye mitandao.

Yes elimu ni muhimu lakini kutokuwa na elimu kubwa sana sio kikwazo cha kufanya mtu ashindwe kufanya kazi za kuongoza nchi au kampuni.

Yes nakubaliana na wewe 100% kuwa elimu sio kigezo cha utendaji but awe mwazi ili tujue vipi tumsaidie kujenga taifa letu. Na sio tunajua fulani mtaalamu wa mambo fulani kumbe sio matokeo anaingizwa mkenge taifa linaishia kulipa hasara. Guess who is paying that ni mimi na wewe kwenye kodi zetu tunazodaiwa na serikali. Hivyo fahamu ukubwa wa hili tatizo
 
Jamani hii inchi inakwenda wapi? Hamna usalama wa Taifa ku veto hawa jamaa au munawasingizia? Time has come wawe wanaitwa kwa interview in public wa-defend hizo cv zao
 
nadhani wanajamii tuyaangalie haya masual kwa unyeti wake maana kupeana madaraka tu halafu tunaitana ma "dr" au tunaoneshwa shahada za uzamili na uzamivu kumbe danganya toto naomba viongozi wajaribu kutuheshimu walau kidogo wasitudharau na kututukana hivihivi
 
Inasikitisha sana viongozi ambao wanapaswa kuwa mfano bora wa kuigwa,ndiyo wanakuwa na vyeti feki,huu ni mfano mbaya kwa mwananchi wa kawaida.Kibaya zaidi,sisi kama wanachi hatuna njia sahihi ya kutoa hukumu zetu,na hasa sisi ambao tuna upeo mkubwa kuliko wenzetu wa vijijini(Ismani).
 
ndugu zangu kama unaushahidi wa kutosha tumia jina lako kamili fungulia mashtaka kiongozi huyo - kulalamika hivi mara kwa mara haijengi zaidi ya kuonekana hamnazo
 
Kama ushauri wa Usalama wa Taifa hauzingatiwi nini kinafuata??? ina maana anayeteua huliweka TAIFA hatarini ilihali UwT wameshamwambia kila detail ya anachotaka kukifanya.
Hii Usalama wa Taifa isiyo na meno inaboa sana. Kuna kitu kinapaswa kufanyika hapo ili iwe hai kama inavyotakiwa.
Viongozi wanawaburuza wananchi na kupumbaza dola isiwafanye kitu

Mkuu pamoja na kuwa TISS pia wanamadudu yao, lakini so far ni moja kati ya taasisi ambazo hapa TZ at least naweza kusema zina unafuu. Jamaa wanajua uozo ulipo lakini wanashndwa ku-deal kwa kuwa maamuzi yako mikononi mwa wanasiasa, sasa kwenye wanaofanya maamuzi wakiingiza element ya siasa tu, basi mambo yote nayaenda kiswahili. Kweli ni vizuri jamaa wakiwa na madaraka kiasi fulani.
 
Kikwete mwenyewe degree yake feki, ya kubebwa kwa siasa za DARUSO UDSM. Unategemeaje ata value watu waliopita shule za uhakika ?

Tanzania hatuna meritocracy, tungekuwa na meritocracy Kikwete asingekuwa rais. Pale kaweka "loyal citizens of Zamunda" tu watakaomsujudia.

Sifa kubwa ya Mkullo si uwezo wa kielimu wala maadili, huyu mzee mtupu, limbukeni, halafu mchafu ajabu, kashawahi kumpora jamaa mmoja wa shule ya sekondari demu, kijana mwenzake wa sekondari ambaye alikuwa kama mtoto wake Mkullo.

Sifa kubwa ya Mkullo ni kwamba yuko tayari kuchota mabilioni akiambiwa na Kikwete.Si washamtumia sana alipokuwa NSSF.

Usitegemee watu kupewa kazi kwa merit serikali ya bongo.

Kina Harry Truman na John Major types wameongoza nlchi kubwa bila degree, lakini walikuwa na integrity, walikataa kusema uongo kuhusu elimu zao, walikuwa wachapa kazi na nchi zao zenye wasomi wengi zikawakubali.

Mimi sina tatizo na mtu asiye na degree kuongoza kama ni mchapakazi na anaelewa mambo. Lakini akianza kujimisrepresent kama msomi basi najua amejaa hadaa na hata huko kwenye kazi uongo na ufisadi utajaa kila kona.
 
Jamani kwenye hili baraza usomi haukuwa kigezo..labda ukaribu na jk pamoja na kuwa ndani ya mtandao na of course kuwa ccm!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom