Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Ameachana na siasa?Nenda kanisani kwake mikocheni au nenda nyumbani kwake flat za Tanzania breweries pale shule ya uhuru utampata.
Ameachana na siasa?
Baada ya kuumbuliwa RA kwa kuonyeshwa petty cash voucher ya kuvuta kitu kidogo, amenywea! Kwani aliambiwa hiyo ni moja tu, ukianza firimbi zako tena, tutaweka zingine mbaya zaidi! akaona maji yamemzidi kimo bora aufyate!
Na ishu ya kutumiwa na CCM kuipakazia Chadema kuhusu kifo cha Chacha Wangwe ndiyo ilikuwa kaburi lake, hatunaye tena kwenye mapambano. Kifupi ni kuwa aliuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kama ilivyokuwa kwa Esau katika Biblia.
Mtikila ni mmoja kati ya watanganyika walio lilia mali zetu zisiibiwe tangu zamani,
Leo hii upo unabung'aa na kurubunika kwa visenti vya magabachori shauri yako.
Kama na wewe ni Gabachori fisadi fahamu siku zako zinahesabika.
Japo mlikuwa mnampoza,mlikuwa mnampatia nauli za kufika mikoani na kuutalifu umma.
Amefanya kazi kubwa, hatuwezi kumtupa kihivyo.
Mkuu spencer, pamoja kwamba mimi sipendi wala kukubaliana na Dar es salaam katia mlengo wake, ila kwenye hili tumtendee haki, alichopost ndio ukweli wenyewe,uwezi kumuita mtu fisadi halafu wewe huyohuyo unatokea mlango wa nyuma unakwenda kuchukuwa pesa kwa mtu huyo huyo, hapana siwezi kumsapoti mtu wa namna hiyo. kuhusu watu waliosimama front kupigania nchi wako wengi na kila zama na kitabu chake, kuna watu tangu wazaliwe hawajawahi kuwa wanachama wa ccm, kwahiyo sometime think Big, first appointment ya kwanza ya ajila ya mtikila ni ikulu enzi za mwalimu, sitaki kujaza ukarasa nitawachosha wasomaji. lakini mtikila kwishnei.
Wana JF Bado nitamtetea Mtikila.
Namtetea kwa yale mema aliyoyafanya kwa nchi hii, kuthubutu kukatiza katika Msitu wa Mnene.
Jasho likimtoka kutaka kuamsha watunzania waliokunywa maji ya bendera,
Enzi hizo, hata mimi nilikuwa Siipati picha sawa sawa pale alipokuwa anambana Rajan,
Lakini leo namuenzi, inawezekana Hiyo Cheque walipeleka kama sadaka kanisani kwake wakti wa Harambee,
Hata kama hapo alitereza, Ametufanyia mema mengi watanzania kuliko kupokea Checque na bado akaendelea kutuamsha.:ranger:
Wana JF Bado nitamtetea Mtikila.
Namtetea kwa yale mema aliyoyafanya kwa nchi hii, kuthubutu kukatiza katika Msitu wa Mnene.
Jasho likimtoka kutaka kuamsha watunzania waliokunywa maji ya bendera,
Enzi hizo, hata mimi nilikuwa Siipati picha sawa sawa pale alipokuwa anambana Rajan,
Lakini leo namuenzi, inawezekana Hiyo Cheque walipeleka kama sadaka kanisani kwake wakti wa Harambee,
Hata kama hapo alitereza, Ametufanyia mema mengi watanzania kuliko kupokea Checque na bado akaendelea kutuamsha.:ranger: