Sijawahi kuziona post zao. Ngoja kuanzia leo nizitafute ili nami nicheke.
Naambiwa ni Mtu mmoja! Lol
Kwanini ashindwe kucheka au kwasababu ya uzee? Nalog offna wewe huwa unachekaga?
Mbona nasikia wewe ndio Malaria Sugu
Rev Masanilo anapenda siasa,halafu ana majibu mafupi ya kuchekesha.
Bujibuji yeye navyohisi hayupo kisiasa sana ila anapenda majukwaa mengi.
ila wote nawakubali
Kwanini ashindwe kucheka au kwasababu ya uzee? Nalog off
Bujibuji basi turushe shilingi....ila atakayeshinda sijui atumie jina ganiHalafu na wewe Excellent ni Bujibuji, nahisi kuna haja eitha ya kurusha shilingi au kupiga ramli
Mie nimeuliza hapo. Nalog offhehehe hayo umesema wewe
Na wewe acha ushamba, hilo neno Nalog off ndio umelijuwa mwaka huu, ongeza basi na shut down.Mie nimeuliza hapo. Nalog off
na wewe huwa unachekaga?
Mbona nasikia wewe ndio Malaria Sugu