Natanguliza shukrani wanajamii.
Nimedhamilia kufanya biashara ya mamalishe hapa dar maeneo ya kinondoni.nimevutiwa sana na hii biashara kwani mtaji wake ni mdogo ukiwianisha na mzunguko wa mauzo ya at least 50,000tshs per day /so it a really entrepreneurship.
let capital of 2mill budgeted as-laki 6 rental for 6month's,6laki for facilities and 8laki for operating expenses.
Sasa naomba nisaidieni kuchanganua budget na nitashukuru kupata mifano hai kwani natumaini some of you are rich of experience on this matter.
let say nahitaji mwanamke serious wa kupika na dada wa kuhudumia wateja sambamba na kaka wa kufuata mahitaji ambao wanalipwaje kutokana na uzoefu wenu ili mradi at least 50,000 haiguswi.
Nimedhamilia kufanya biashara ya mamalishe hapa dar maeneo ya kinondoni.nimevutiwa sana na hii biashara kwani mtaji wake ni mdogo ukiwianisha na mzunguko wa mauzo ya at least 50,000tshs per day /so it a really entrepreneurship.
let capital of 2mill budgeted as-laki 6 rental for 6month's,6laki for facilities and 8laki for operating expenses.
Sasa naomba nisaidieni kuchanganua budget na nitashukuru kupata mifano hai kwani natumaini some of you are rich of experience on this matter.
let say nahitaji mwanamke serious wa kupika na dada wa kuhudumia wateja sambamba na kaka wa kufuata mahitaji ambao wanalipwaje kutokana na uzoefu wenu ili mradi at least 50,000 haiguswi.