MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Katika maisha ya ndoa huwa tunajikuta tunakutana na vikwazo vingi lakini kinachoongoza ni hili la responsibility- nani afanye kipi, nani alipie nini katika familia.
Kuna picha moja nilitakaiweka hapa nimeshindwa inaonyesha kapo siku ya arusi wametoka na gari lao njiani wamepata pacha bwana arusi anaonekana amekaa anasoma gazeti wakati bi arusi na shela lake anabadilisha tairi la gari. Hivi ni yepi yanapaswa kushughulikiwa na Mzee na yepi ni domain ya mama?
How should things be handled within the family kama wazazi wote wanafanya kazi?
Kuna picha moja nilitakaiweka hapa nimeshindwa inaonyesha kapo siku ya arusi wametoka na gari lao njiani wamepata pacha bwana arusi anaonekana amekaa anasoma gazeti wakati bi arusi na shela lake anabadilisha tairi la gari. Hivi ni yepi yanapaswa kushughulikiwa na Mzee na yepi ni domain ya mama?
How should things be handled within the family kama wazazi wote wanafanya kazi?