Responsibilities ndani ya ndoa

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Katika maisha ya ndoa huwa tunajikuta tunakutana na vikwazo vingi lakini kinachoongoza ni hili la responsibility- nani afanye kipi, nani alipie nini katika familia.

Kuna picha moja nilitakaiweka hapa nimeshindwa inaonyesha kapo siku ya arusi wametoka na gari lao njiani wamepata pacha bwana arusi anaonekana amekaa anasoma gazeti wakati bi arusi na shela lake anabadilisha tairi la gari. Hivi ni yepi yanapaswa kushughulikiwa na Mzee na yepi ni domain ya mama?

How should things be handled within the family kama wazazi wote wanafanya kazi?
 
Kwa swali lako assumption ni kuwa watu wote ni sawa( ki mila, desturi, utamaduni na kiuchumi). Kama ni hivyo basi tofauti na zile zinazotutenganisha kimaumbile( kunyonyesha, kujifungua) kila mwanandoa anaweza kuchukua jukumu lolote. Ila assumption hiyo si ya kweli hivyo hayo niliyo yasema si ya kweli. Ukweli ni kwamba inategemea na jamii unayotokea majukumu ya mume na mmke hutofautiana.
 
Katika maisha ya ndoa huwa tunajikuta tunakutana na vikwazo vingi lakini kinachoongoza ni hili la responsibility- nani afanye kipi, nani alipie nini katika familia.

Kuna picha moja nilitakaiweka hapa nimeshindwa inaonyesha kapo siku ya arusi wametoka na gari lao njiani wamepata pacha bwana arusi anaonekana amekaa anasoma gazeti wakati bi arusi na shela lake anabadilisha tairi la gari. Hivi ni yepi yanapaswa kushughulikiwa na Mzee na yepi ni domain ya mama?

How should things be handled within the family kama wazazi wote wanafanya kazi?

It all depends on how well you know each other....and also your lever of agreements (with each other).
For example: I can sence when my wife is exhausted....so I won't ask anything...when I see the signs...I will bathe the children, prepare food for all of us and finally put them in bed.....this is because....if she wasn't ....then I would find all these things or at least 90% already done.
 
Katika maisha ya ndoa huwa tunajikuta tunakutana na vikwazo vingi lakini kinachoongoza ni hili la responsibility- nani afanye kipi, nani alipie nini katika familia.

Kuna picha moja nilitakaiweka hapa nimeshindwa inaonyesha kapo siku ya arusi wametoka na gari lao njiani wamepata pacha bwana arusi anaonekana amekaa anasoma gazeti wakati bi arusi na shela lake anabadilisha tairi la gari. Hivi ni yepi yanapaswa kushughulikiwa na Mzee na yepi ni domain ya mama?

How should things be handled within the family kama wazazi wote wanafanya kazi?

Hii thread ni nzuri, sema ukishasema Responsibility, watu hao wanaingia mitini! :D

Mw'j1, majukumu ndani ya nyumba ni yenu wote, hata kunyonyesha mtoto baba mtu unawajibika,...chupa si zipo bana :)

Kama mama ni mtaalamu wa mambo ya garage, sioni ubaya wa huyo bi harusi kujitolea kufungua tyre. Sawa na mama akiwa ukumbini na wageni, wakati baba mwenye nyumba yupo bize jikoni akiandaa makulaji, kisha kuja kuandaa meza,... ni makubaliano tu, kwani wanaume wengi ndio wataalamu wa mapishi!

Kwa kifupi, hakuna jinsia iliyo na jukumu zaidi ya nyingine. Kuheshimiana, kusaidiana na kuoneana huruma ndiko kunakohitajika kutimiza malengo yenu, bila kusahau mila na desturi (mlizokubaliana.)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom