Research Grants

mi sijaelewa kwa hiyo wanapatikana wapi toa maelezo kwa kina.
 
Kazi ipo.Pamoja na kupewa link m2 bado hajaelewa!!!!!! Interview utaelewa kweli? nakutania tu mjomba LINKI NI
[h=1]African Peacebuilding Network Research Grants[/h]
 
Ninawashangaa Wadanganyika wenzangu, kama kila kitu kipo katika link na hujaelewa je, unaweza kuandika proposal na ikapita kweli? Kweli tuna kazi bado...
 
Back
Top Bottom