mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Kwa jinsi nchi yetu ilivyo na kuleana leana kwa mambo ya kipuuzi Republic of South Sudan watatupita kimaendeleo sasa hivi.....
Na je ikiwa hivyo nani wa kumlaumu? Tunajifunza nini kutokana na south sudan? Tuamke Watanzania jamani wakati ndio huu.
Na je ikiwa hivyo nani wa kumlaumu? Tunajifunza nini kutokana na south sudan? Tuamke Watanzania jamani wakati ndio huu.