Repoti yako ya mwaka 2010 imetoka!!!

mmmhh atazoea tu dear..
klorokwin ni chugu kama hujaizoea..
lakini ukichukua mara 2 au 3
ina utamu zaidi ya asali
hahah lol

samtaimu nakuwa natamani nikuwe mod halaf niwaban memba wote tubaki mimi na wewe tu. dah! utanisababishia nikaanzishe sredi JF doctor mtoto wa mwanamke mwenzio.
 
Haya naomba afrodenzi tufungie mlango.

kwa majini matakatifu ya JF
Uporoto, ( Producer)
Klorokwin(director na mganga)
Tabutupu( Afrodenza)


ningependa kuwaaga na kuomba mlala salama..
maana hii movie haita isha kama nyie wakuu
mkiwa mmechoka sana kesho..

AMEN
 
Back
Top Bottom