Report: Bin Laden Already Dead

Yaani kweli kitu ya almost 8 years mnasema ni mpya jamani. Kabla member hujaanza kuchangia check kwanza date ya event kama ya Obama ambaye hata hasimu wake Marekani na Uingereza hawana hakika kama yu hai au alishakufa!!!! Ila Osama Bin Laden ni kiboko!!!! Kama yuko hai na hajaweza kukamatwa hadi leo leaving apart donge nono lililotolewa na marekani basi huyu ndiye naughty boy wao!!!
 
KAtika dunia ya leo sikutegemea kama kuna mtu kiasi chako,anayezungumziwa hapa ni Bin Laden, sasa Muhammad kaingiaje?Wewe mnafiki mkubwa na hufai kuwepo hapa katika JF.Na kwavile tunakufahamu lazima tukufuatilie hadi chumbani kwako tujue haswa unachokitegemea nini!Wewe ni mchawi mkubwa na mshirikina kushinda Yahaya Hussein lakini lazima tukushughulikie ili ujue upumbavu una kikomo chake.

Acha matusi hayafai JF. Kwani aliyemfanya Osama bin Laden kulipua watu nani? Itaendelea kukuuma mpaka na wewe utajilipua hatimaye!
 
Last edited by a moderator:
If God's commandments are still the same then all the killers will face eternal damnation!

NDIO HIZI GOD`S COMMANDMENT.
JAMA NDUGU ZANGU HIVI VITABU WALIOANDIKA HIIVI HAWAKUWA WASTARABU.
GALATIANS 2.16
16

Lakini, tunajua kwa hakika kwamba mtu hawezi kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo. Na sisi pia tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria.

1.TIMOTHY 1.10
10

sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafira ji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.
 
Usihukumu ndugu yangu Mungu husamehe inategemea kama alitubu kabla ya mauti kumkuta. Huwezi amini ukamkuta Osama Bin Laden kwenye uzima wa milele na wewe ukaenda motoni kwa dhambi zako unazoziona ni nyepesi.
 
Osama bin Laden
[FONT=Verdana,Arial, Helvetica]Arabic: 'usāma ibn muhammad ibn lādin [/FONT]
t.gif

[FONT=Verdana,Arial,Helvetica]
t.gif
t.gif


t.gif

(1957-) Leader of the Islamist network of organizations, Al-Qa'ida, and alleged terrorist leader.
t.gif
Osama bin Laden has from the late 1990's grown into becoming the most known terrorist leader from the Muslim world, even if no condemning evidence ever has been presented. Osama has however often called for fighting against what he perceives as corrupt leaders of the Muslim world, as well as fighting against powers like Israel and USA. Following several terrorist attacks in the 1990's, Osama has congratulated the perpetrators, at the same time as claiming that he is not involved.
t.gif
Osama is of Saudi Arabian origin, but his Saudi citizenship was revoked in 1994 as a reaction to his attempts to overthrow the regime of Saudi Arabia. Today it is believed that he lives in Kandahar in southern Afghanistan, under the protection by the Taliban regime of Kabul.
t.gif
It is doubtful if Osama is involved in the details of the terrorist actions. From his base in Afghanistan, he has little contact with the rest of the world, and it likely that he his role is defining ideology, defining core goals and distributing funds for the many terrorist groups that work together with Osama's Al-Qa'ida.
t.gif
Osama's rhetorics are not different in many fields from what is rather common around the Muslim world. He condemns the corrupt regimes in many Muslim countries, and bases this upon facts that would be accepted even in Western countries. And he condemns USA and Israel strongly both for their Palestine policy as well as the US presence in the Persian Gulf. These are opinions shared by a majority of Muslims all over the world, and a growing part of the peoples in non-Muslim countries. But Osama goes further, and involves himself in violent actions around the world, especially in Muslim countries. This is a part of his policy that most Muslims will disagree with.
t.gif
Osama has few friends among the leaders of the Muslim world. Persons like Mu'ammar Gadhafi and Saddam Hussayn, who also have been accused of participation in international terrorism, are his definite enemies.

[FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]Personality
[/FONT]
No matter what one might think of Osama's policy, there is no reason to believe that he is anything but honest in his belief. That is one of the reasons why he has been able to get as far as he has. He has also a reputation of being deeply loyal to his closest men.
t.gif
Osama has been described as a charismatic and ascetic man enjoying few luxuries, and who is almost mechanically true to his principles.
t.gif
Some commentators have suggested that he is now gradually changing from this rather humble appearance in the 1990's, into a character that more aware of his influential position. This is deduced from a films showing a more ornamented clothing style and a less humble way of addressing his followers.
t.gif
Following attempts on his life in 1997, Osama has become more concerned about his own safety than before, and he now moves between 4 or 5 camps near Kandahar. This has resulted in a great suspicion towards anyone outside the group of his closest comrades.
[FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]First organization[/SIZE][/FONT]
[FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]MAK (Maktab al-Khidamat)[/SIZE][/FONT]
Osama has been involved in establishing 2 very important organizations, MAK (Maktab al-khidamat) in 1979 and Al-Qa'ida in 1988. While the purpose of these two were different — MAK was built to drive the Soviet troops out of Afghanistan — they are linked in the sense that Al-Qa'ida would never have come were it not for MAK.
t.gif
MAK was started by Osama together with the leader of the Palestinian Muslim Brotherhood, Abdallah Azzam.
t.gif
With MAK, Osama was able to recruit troops from all over the Arab world, but especially from Saudi Arabia, Algeria and Egypt. More than 10,000 are believed to have been training by MAK, and then participated in the warfare against the Soviet Union. Large number of the MAK troops lost their lives in the war, but the survivors came through as exceptionally skilled soldiers.
t.gif
There have been many suggestions that MAK received both funds and training from CIA (the main intelligence organization of USA) — this has never been officially denied by CIA.
t.gif
MAK was one of 7 Mujahedin factions in Afghanistan, and was hence part of the great success they had in driving the Soviets out of the country. By achieving this, the Mujahedin gained a very important symbolical victory for the Muslim world, which then was still suffering from the humiliations of the lost wars against Israel.
t.gif
Following the war, many of the Muslim fighters of MAK returned to their home countries, like Egypt and Algeria, where they soon got involved in actions against their own governments. It is for example hard to imagine the civil unrest of Algeria from 1992 and onwards without the military and communication skills of the MAK troops.
t.gif
In other countries, like Sudan, the fighters could return as heroes, and were given important positions in the society.
t.gif
Many others decided to stay on in Afghanistan, while others were afraid of returning to their home countries. These would remain in cooperation with Osama, and become the Afghanistani branch of Al-Qa'ida.
[FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]Second organization[/SIZE][/FONT]
[FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]Al-Qa'ida[/SIZE][/FONT]
Al-Qa'ida was started as a network to continue to fight on more fields than just the battleground. While MAK focused on liberalization of Afghanistan, Al-Qa'ida aimed, and still aims, at defeating corrupt regimes in the Muslim countries, as well as defeating the powers that infiltrate the Muslim world. These powers were first and foremost USA with its direct involvement several places around the Muslim world, and Israel which was founded on Palestinian soil.
t.gif
Al-Qaïda is believed to have been central in several terrorist attacks over the recent years.
[FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]Assets and Properties[/SIZE][/FONT]

ASSETS and PROPERTIES
The property of Osama is originally inherited, but he has also been very successful in his investments. During the time he was based in Sudan, he managed to run a good business.
t.gif
Nobody knows how much he is good for, all figures presented are guesses. The most common guess gives an estimate of about US$300 million, but there are other guesses going both far above and below this.
t.gif
These are some of the companies owned by Osama: Hijra Construction and Development owned together with the National Islamic Front and the Sudanese military; the import-export firm Wadi l-Aqiq; Taba Investment Company; Shamal Islamic Bank.
t.gif
Osama's main economic activities today are run through representatives in Somalia, Switzerland and Luxembourg. Western interests are managed by Swiss lawyers, who help him cover his financial dealings so that funds find their way to all the different terrorist organizations under the Al-Qa'ida umbrella. [FONT=Georgia,Times New Roman,Times,serif][SIZE=+2]Biography[/SIZE][/FONT]</B>
1957: Born in Saudi Arabia as the 17th of altogether 52 children of the wealthy entrepreneur Muhammad bin Laden.
1979: Finishes his education as civil engineer at King Abdul Aziz University of Jedda.
— Following the Soviet invasion of Afghanistan, Osama travels here to join the Mujahedin in holy war (jihad) to liberate the Muslim country. He also moves his business from Saudi Arabia here, including loyal workmen and heavy construction tools.
— Osama forms MAK together with Abdallah Azzam of the Palestinian Muslim Brotherhood.
1988: Osama founds the organization, or better network, Al-Qaïda.
1989: Osama returns from Afghanistan to his native Saudi Arabia as a hero. He soon gets involved in organizations working against the Saudi royal family.
— Osama starts leading the Jihad Committee, where Islamic groups from Yemen, Pakistan, Lebanon, Libya, Jordan and Algeria work together.
— Osama's former ally Abdallah Azzam is killed by a car bomb.
1991: Osama escapes from Saudi Arabia to Afghanistan, after he has been accused by Saudi Arabia, Algeria and Sudan for supporting subversive groups.
1992: He moves to Khartoum in Sudan, and is followed by thousands of earlier Mujahedin soldiers.
1993: 18 American soldiers are killed in Somalia. Eventually Osama admits to have behind this attack.
1994 April: Osama is stripped from his Saudi citizenship, and declared unwanted in the country. The Saudi authorities also tried to freeze his bank accounts.
1996 May: Following US pressure, Osama is requested by Sudanese authorities to leave the country. His companies stays in Sudan, leaving him with both sources of revenues, as well as good communications with the rest of the world. He establishes himself in Jalalabad in Afghanistan.
1997: Two bombs are detonated in Jalalabad in attempts to assassinate Osama. He moves to Kandahar, where he builds underground camps at several different locations.
— February: Osama says in a TV interview that "if someone can kill an American soldier, it is better than wasting time on other matters."
1998: The umbrella organization Islamic World Front for the struggle and against the Jews and the Crusaders where his Al-Qa'ida is joined by other militant Islamist groups like Gama'a l-Islamiyya and Al-Jihad, both of Egypt.
2001 September 11: Following the terrorist attack on World Trade Center and the military headquarter, Pentagon in Washington DC, USA, Osama sends a messenger to his biographer in Pakistan, Hamid Mir, telling that he claims not to have been involved.
— September 12: Osama is accused by US authorities of being the main suspect of the terrorist attacks the day before.
— September 17: According to Arab newspapers, Osama takes refuge in the Afghani mountains together with his closest comrades, in order to escape US special soldiers.
2002: Evidence of any movements of Osama is no longer available, but there are 3 theories: he has been killed during US/Afghan actions against his hideouts in Afghanistan, he is still hiding in the Afghan mountains, he is hiding in the Pakistani mountains.


[/SIZE][/FONT]
 
NDIO HIZI GOD`S COMMANDMENT.
JAMA NDUGU ZANGU HIVI VITABU WALIOANDIKA HIIVI HAWAKUWA WASTARABU.
GALATIANS 2.16
16

Lakini, tunajua kwa hakika kwamba mtu hawezi kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo. Na sisi pia tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria.

1.TIMOTHY 1.10
10

sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafira ji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.

Si ajabu kumtaja vizuri marehemu. Ukitaka sifa wewe kufa tu, hata kama uliua kiasi gani watasema pengo la marehemu haliwezi kuzibwa!
 
He was such a great terror to terrorists (USA, UK, FRANCE, GERMANY, RUSSIA etc and the list goes on in that order) and may GOD rest his soul in peace. Amen

Tutamkumbuka sana kwa kututetea wanyonge na pia kutuonyesha kuwa we can. Yes we can CHANGE anything that the political figures wrong doings and pretenses that it is all fine!!

We need his successor very soon. Bila watu kama hawa haya mataifa beberu yanaweza yakaamua chochote kwa taifa lolote.


It is not yet vivid now BUT we will remember him one day when it happens that taifa beberu is after some other nations. Uonevu tu. Actually huyu jamaa alipingana sana na uonevu. Nasikia kuwa alikuwa insider wa siasa za marekani zile chafu na za ki-terorrist kuiangamiza Afghanistan na special mission Russia na after completion hawa Wamarekani wakataka kumwua ili kukamilisha dili na kuwa CLEAN. Ikashindikana kwani Mungu alimlinda sana Osama. Thereafter akaanza kuwafanya. Nafikiri hata hawakumlipa pesa zake. Kama mtu anakataa, Je USA si gaidi kwa kupiga mabomu sokoni na kuuwa watu wasio na hatia? Wanatofauti gani na gaidi? Ila Osama hakuwa gaidi kwa kuwa mission zake well plotted mfano WTO towers. It was so nice I love it and will remember it for so long. Waisrael waliambiwa waondoke kwa kuwa hawana ubaya na mtu na wala si magaidi. Magaidi wakashushwa na kwa kuchanganyikiwa wakaipiga Iraq kwa uonevu na kumtoa Saadam, kisha wakagundua kuwa hakuwa na silaha za maangamizi. Again May GOD rest Saadam Hussein in peace. Amen. Hawa ni kati ya wanaume wachache wenye msimamo na kupenda kutenda haki. Kwa Africa tangu liumbwe bara hili wamekwepo viongozi au figures mbili tu. Ningeweza kuwapatia prize ya kutetea haki na kupenda usawa na uzawa. Si wengine na bahati nzuri bado wanaishi. Ni Nelson Mandela kwa chati baada ya Mheshimiwa Mtume Robert Mugabe. Wengine ni wafuata upepo tu na hata vyeo walivyo navyo hawajui maana yake kwa dhati. We can say they are ceremonial figures. Wanaelewa na waelewe.

ADIOS!!!

Duh! Watu bwana! Yaani huyu naye shujaa?!
 
this time kama kweli amekufa, anaungua moto, na anatamani arudi huku duniani aje amkiri Yesu kuwa Bwana na mwokozi wake na awaambie waislam wenzie kuwa njia wanazofuata zinawapeleka moja kwa moja kuzimu. hakuna njie nyingine ya watu kuokoka na jehanam isipokuwa kwa njia ya Yesu Kristo tu. hakuna mitume wengine wanaoweza kuokoa mtu ila Yesu. mtume mwamedi hawezi kumwokoa mtu na kuzimu, ni Yesu pekee. hakuna jina lingine tulilopewa sisi wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo ila Jina la Yesu tu. na bile yeye, utaenda jehanam. na Osama nina uhakika anaoza motoni sasa hivi akiwasubiria watu woote wanaomkana Yesu kuwa ni mwana wa Mungu.

kibaya zaidi, ukifa hakuna kurudi, baada ya kufa ni hukumu tu. hivyo muda huu ulio nao sasa ni muda wa kufanya utafiti kama hiki ninachokisema ni cha kweli au la, uamuzi utakao uchukua utakuwa wakukufanya upone milele au uangamie milele. mwenye sikio na asikie.
 
Duh! Watu bwana! Yaani huyu naye shujaa?!
hao jamaa ukitaka kuwateka akili semea dini yao.......mfano ukimtaka dadake GT wewe anza kuweka mistari ya kiarabu kwenye jukwaa la deen na vaa kanzu kubwaaaa..aaah unapewa kilainii......
 
Huyo sijui ndio Bacchan, hakuna mtu anaumia, ila huko kuleta kejeli, na Kudharau wasiohusika humu ndio huo ushenzi na ufedhuli, na ni tabia za wanawake tena ambao hawjakomaa, yani ina maana hata balehe bado, ndio wanaopenda kufanya vitu au kusema waone wenzao wataumia vipi na kufanyaje, kwani hata huyo mnaedai na kayesu chenu ndio kweli amefundisha haya mnayoyafanya leo? ya kwenda Jumapili kanisani, kwenda kwa Padre ukasamehewe dhambi kwa pesa? Mhhh!!!
 
Kwa wale mnaokwepeshakwepesha hakuna tofauti yeyote baina ya Osama na mtume wa wasilamu..swallow it or spit it..huo ndo ukweli.
 
Kwa wale mnaokwepeshakwepesha hakuna tofauti yeyote baina ya Osama na mtume wa wasilamu..swallow it or spit it..huo ndo ukweli.
fafanua kama hun udhibitisho naomba mods wakupe ile kitu inauma....
 
Huyo sijui ndio Bacchan, hakuna mtu anaumia, ila huko kuleta kejeli, na Kudharau wasiohusika humu ndio huo ushenzi na ufedhuli, na ni tabia za wanawake tena ambao hawjakomaa, yani ina maana hata balehe bado, ndio wanaopenda kufanya vitu au kusema waone wenzao wataumia vipi na kufanyaje, kwani hata huyo mnaedai na kayesu chenu ndio kweli amefundisha haya mnayoyafanya leo? ya kwenda Jumapili kanisani, kwenda kwa Padre ukasamehewe dhambi kwa pesa? Mhhh!!!

Na wewe acha kukejeli na kudharau wanawake. Unataka kusema ufedhuli ni tabia za wanawake? Na huko kusema "Kayesu" ketu how does it make you better then those you are referring to on this friend as mafedhuli? Au na wewe ulitaka tu kushusha matusi kwa hiyo ukaingia na gia hii?
 
Huyo sijui ndio Bacchan, hakuna mtu anaumia, ila huko kuleta kejeli, na Kudharau wasiohusika humu ndio huo ushenzi na ufedhuli, na ni tabia za wanawake tena ambao hawjakomaa, yani ina maana hata balehe bado, ndio wanaopenda kufanya vitu au kusema waone wenzao wataumia vipi na kufanyaje, kwani hata huyo mnaedai na kayesu chenu ndio kweli amefundisha haya mnayoyafanya leo? ya kwenda Jumapili kanisani, kwenda kwa Padre ukasamehewe dhambi kwa pesa? Mhhh!!!

Sasa na wewe umefanya nini?

X-Paster, na wewe ndio nini kutuletea habari ya 2001?
 
haya ni matatizo yanayo tokana na kutotaka kujifunza dini za wengine hisitoshe dini zenye tumeletewa sisi watanzania na hawa watu kwa njia za ubabaifu tu wote waarabu waliokuja kwa kukimbia vita vya dini kutoka kwao sitaki kukumbushia ushenzi waliowafanyia mababu zetu along the way na Dr livingstone a false missionary who came to map out tanzania na ushenzi waliokuja nao wajerumani kutumia ramani zake.

apart from africa, these religions have had to evolve and alter from many of the origins to suit the societies as they evolve and reflect moral values of the time. Our time needs much more convincing to many where god at, and how he can save us, i guess that comes after you had seen how others suffer alot with false wars, how food is being thrown yet others go with very little, how wealthy can influence and how poverty keeps people in a needy situation. If you think and ask yourself questions regarding whats wrong and right with our world today based on those few example i gave with what is happening today. my conclusion should be based on the facts and realistically approach of what needs to be done and a god answer to many of our problems is a false approach(a fantasy out of heaven). Only what ought to be done is going to save us or else we can pray all we want.

medieval religions have a long history of torture to convince its people at the time no more with barberic history than the Catholic Church. And its approaches to attract early christians especially in Europe, apart from just torchure its tactics to convince christianity was better than, there way of worship cause even them had mizimu to worship if you didnt know,so christianity had to bless those trees just to tie those objects to religion before starting the ruthless approach of those who did not believe in it just research and read about medieval religion.

On the other side Kureish (the Arab tribe that Prophet Mohammed came from) had a strong debauchary history and wars together with inhuman lifestyle prior to the great Prophet introduction to Islam. But the prophets of Islam did all the things the other religion did fact known to both religions since christianity was the first religon to establish itself the question is was Islam the new religion or the same religion introduced to Arabs with some twist to suit their culture.

apart from Mecca and Vatican most holy sites lie in Israel, all of the prophets were Israelists but the Israel themselves are neither of the two religions isnt that controversial on our religions. therefore i think we should learn to respect each others way of reaching to god regardless. the christians and muslim head figures all get along well and respect each others in our time hawa wenzetu vita vya kidini walimaliza centuries ago so us start now.

Lastly we should learn to understand politics has no religion the taliban had been fighting so many other tribes due to their fanatical ways and how they governed afgan so it was war on islams but without just religion but how afgan should be governed to suit all afgans first not their religions.

Northern Ireland is a country of two christians who are unwilling to settle their difference yet they're all of the same race and the history of violence between the two. So religion can be a category to discriminate if we dont learn to respect one another yet there is much to discuss on the authentity of them to sum. I have mine in most cases i was given by parents you have yours in most cases your acquired in a similar manner has i had mine. We read our teachings wich promotes the good Allah or Lord in most cases in Tanzania but reading isnt that what we are going to defend based on what our books teach i see it as a corrution of mind in a sense, and creating a way of thinking reading more it becomes part of your thinking, which can lead to extremism view unless you learn openly the other side you'd come to respect each others beliefs. please lets grow together we need to move on out of pointless hate among us it a sad line of creating us and them serves no purpose nor benefit non we are one of the poorest people in the world may be not you in particular but many tanzanians in general.
 
Huyo sijui ndio Bacchan, hakuna mtu anaumia, ila huko kuleta kejeli, na Kudharau wasiohusika humu ndio huo ushenzi na ufedhuli, na ni tabia za wanawake tena ambao hawjakomaa, yani ina maana hata balehe bado, ndio wanaopenda kufanya vitu au kusema waone wenzao wataumia vipi na kufanyaje, kwani hata huyo mnaedai na kayesu chenu ndio kweli amefundisha haya mnayoyafanya leo? ya kwenda Jumapili kanisani, kwenda kwa Padre ukasamehewe dhambi kwa pesa? Mhhh!!!

Nani kakudanganya watu husamehewa dhambi kwa pesa?
 
Huyu Osama ambaye amewafanya watu kujiuliza mara mbili tatu kabla hawajapanda ndege kwa ajili ya safari naye watu wanasikitikia kifo chake? Kwani kuna jema gani alilolifanya hapa duniani zaidi ya kuwafanya watu waogope kulipuliwa na bomu saa yoyote? Labda tumpe ile sifa ya jumla ya marehemu wote: 'marehemu alikuwa mtu........., pengo lake halitazibika kamwe, alazwe mahali.........Amen'
 
Back
Top Bottom