Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,971
- 13,605
Mi nadhani CHADEMA wafanye kitu na Mkinga kufanya replacement ya Shibuda.
no,no! Soon hapo segerea patakuwa bila mbunge. Yule mwizi wa kura, Makongoro Mahanga hawezi kupona,kwa ushahidi uliotolewa. Asimame pale kupitia CDM. Kwa kuwa ni mjini,taarifa zinawafikia watu kwa urahisi tofauti na akienda mkoani. Namkubali!