Reminder to all MMU

Good idea,la msingi mmu iheshimiwe but mbona kule chitchat kupo free labda wale wanaopita au nilikwepo na wale wa conversation wangehimizwa watumie chitchat
 
Naunga mkono hoja ila kwa walakini!!! Mimi binafsi sio mpenzi sanaaa wa kusoma matatizo, tragedy na stress za wapenzi, japo nasomaga somaga sometimes, kiukweli japo sio poa napendaga sana MIZAHA! MIZAHA! watu wanayocomment inakuwa entertaining na interesting kwa mpigo! So hata heading ya thread kama haijanivutia nikiona ID tu ya mtu mwenye mzaha amecomment lazima nikasome amecomment upuuzi gani! Ila hata mimi sipendi CONVERSATIONS NJE YA MADA! Hasa mtu unakuta nimecomment afu jitu linaanza kuget PERSONAL na kutaka kukujadili wewe uliecomment!!!!! WTF!!!! Soma comment, umeipenda LIKE, Hujaipenda pita kimya, huwezi iquote na kuijibu! Hutaki kojoa ulale!
 
Naunga mkono hoja,na mada zisizo na tija zidhibitiwe.Vilevile wachangia mada na waanzishaji wazingatie lugha wanayotumia,waturahisishie wasomaji maana maandishi mengine yanaandikwa kifupi mno vingine hata havieleweki! Kimsingi jukwaa linahitaji tena fagio na maboresho
 
msifanye maisha kuwa magumu sana, siasa stress hata mmu ukumbane na stress pia?

Ingawa kuna matani mengine yakupitiliza shurti ya dhibitiwe, au pale mtu anapomporomoshea matusi mleta tatizo badala ya kumsaidia au mada za kusadikika hazifai
 
Naunga mkono hoja ila kwa walakini!!! Mimi binafsi sio mpenzi sanaaa wa kusoma matatizo, tragedy na stress za wapenzi, japo nasomaga somaga sometimes, kiukweli japo sio poa napendaga sana MIZAHA! MIZAHA! watu wanayocomment inakuwa entertaining na interesting kwa mpigo! So hata heading ya thread kama haijanivutia nikiona ID tu ya mtu mwenye mzaha amecomment lazima nikasome amecomment upuuzi gani! Ila hata mimi sipendi CONVERSATIONS NJE YA MADA! Hasa mtu unakuta nimecomment afu jitu linaanza kuget PERSONAL na kutaka kukujadili wewe uliecomment!!!!! WTF!!!! Soma comment, umeipenda LIKE, Hujaipenda pita kimya, huwezi iquote na kuijibu! Hutaki kojoa ulale!

Hata nami napenda sana uzi uliochangamka, na kwa kweli kuna watu huwa wanafanya siku yangu kuwa nzuri; but nafikiri idea ya sub forum ni nzuri ili wale ambao wana shida za ukwelii na wanahitaji ushauri usio na mizaha basi wapate kile wanachohitaji, halafu mada ambazo ni less serious na tunaweza chakachua japo kidogo ziendelee kuwemo.
 
msifanye maisha kuwa magumu sana, siasa stress hata mmu ukumbane na stress pia?

Ingawa kuna matani mengine yakupitiliza shurti ya dhibitiwe, au pale mtu anapomporomoshea matusi mleta tatizo badala ya kumsaidia au mada za kusadikika hazifai

Nakubaliana nawe BT, lkn kuna watu wana shida zinazowaumiza kichwaa au hata kama sio shida kuna topics ambazo kweli zinahitaji kufikiria sana (Eiyer huwa anaanzisha topi nyingi zinazoquestion assumption tulizozizoea, l am ashamed to admit, ni mimi mmoja wa watu ambao wameingiza mzaha sana kwenye nyuzi zake), hizo zitengwe na kupata michango serious na sio 'subiri waje' kind of comments.
 
I am finished!

Ila kweli japo ngumu kumesa.

Not real, Kongosho; ni wazo tu halafu pamoja na kwamba wewe ni mchakachuaji mzuri lakini una pointi nzuri sana, so zinahitajika ziwe treated with respect sio mtu apick kamstari kamoja na kuanza kukachakachua.
 
I am finished! Ila kweli japo ngumu kumesa.

Mbona wewe ni mchangiaji mzuri tu..uzuri mmoja una uwezo wa kuswing na upepo wa thread. Mizaha ikizidi nayo hainogi bana

Naunga mkono hoja,na mada zisizo na tija zidhibitiwe.Vilevile wachangia mada na waanzishaji wazingatie lugha wanayotumia,waturahisishie wasomaji maana maandishi mengine yanaandikwa kifupi mno vingine hata havieleweki! Kimsingi jukwaa linahitaji tena fagio na maboresho

Hapo kwenye waleta mada ndipo Kwa kukazia. Manake mada ikija haijachangamka usitegemee michango itaichangamsha. Lugha pia iwe ya kueleweka

msifanye maisha kuwa magumu sana, siasa stress hata mmu ukumbane na stress pia?
Ingawa kuna matani mengine yakupitiliza shurti ya dhibitiwe, au pale mtu anapomporomoshea matusi mleta tatizo badala ya kumsaidia au mada za kusadikika hazifai

Ni kweli maisha ni magumu mtaani hayapaswi kuwa magumu hata hapa JF. But mada na uchangiaji unaoambatana na matusi haunogi zaidi utaongeza stress kwa mleta uzi

Naunga mkono hoja ila kwa walakini!!! ..Hasa mtu unakuta nimecomment afu jitu linaanza kuget PERSONAL na kutaka kukujadili wewe uliecomment!!!!! WTF!!!! Soma comment, umeipenda LIKE, Hujaipenda pita kimya, huwezi iquote na kuijibu! Hutaki kojoa ulale!

Nimependa uliposema 'personal attack'..hii haipendezi bana. Vizuri mtu kuzingatia mada na tujiepushe kuchangia 'within posts' badala yake tustick kwenye mada yenyewe. Unless kama post inalekea kupotosha maudhui.

Good idea,la msingi mmu iheshimiwe but mbona kule chitchat kupo free labda wale wanaopita au nilikwepo na wale wa conversation wangehimizwa watumie chitchat

Hapo kwenye 'nilikuwepo', 'napita tu', 'ngoja waje'..i hope chit chat inahusu sana
 
mimi nafikiri chi chat liwe sub forum ya mmu
hii itasadia sana
wengine chi chat wanaiona iko mbaali sana
ikae kama love connect ilivyokaaa

itapunguza mno yote haya....kingine threads za jukwaa la kikubwa zipelekwe huko
na sio mmu.....itaondoa kero kwa wasio taka kujadilui sex mmu
na badala yake tujadili mahusiano na mapenzi
binafsi mmu inanichosha na threads za mafundisho ya sex kutwa
tena vitu vyenyewe ni marudio au publicity stunts....
 
Umezungumza la msingi sana Kaunga, mie nakubaliana na wewe... Kutoka nje ya mada na kuchati bora iwe hasa Chit Chat. Wanadamu tumetofautiana.. Bahati mbaya ama nzuri ni kua hapa MMU tupo karibu sana na twaishi kama familia. Na bahati iliyoje tena ni kua members wengi wa MMU wana michango ya msingi na kujenga hasa WAKIAMUA kuwa mchango wake unatakiwa.

Pia kuna ile kuwa kuna watoto wengi sana wamevamia hili jukwaa, naona kwa sie ambao tumeweza ona kabisa kua hao ni watoto tuwaoneshe kuwa sisi ni wakubwa hapa MMU tena na heshima zetu kwa kuwajibu hoja ambazo zitafanya siku nyingine wasikurupuke. Naona ni bora tuamua as a MMU family kuwajenga na pia kuomba mods kutoa vi thread vya kijinga vyote kwa njia ya kureport. Siku hizi mara nyingi kila ufunguap thread unakuta yakatisha tamaa, ukifungua 3 za hivo mfurulizo, hamu ya kuchangia inakuwa isha yeyuka...

I hope hii ilete kweli change. Ila tu niguisie kuwa kuna tofauti ya kuchat na watu holding a conservation while discussing. Ili mradi isiwe too rigid kiasi kwamba iwe kama tuko Jukwaa la Siasa ama la Dini.
 
mimi nafikiri chi chat liwe sub forum ya mmu
hii itasadia sana wengine chi chat wanaiona iko mbaali sana
ikae kama love connect ilivyokaaa..badala yake tujadili mahusiano na mapenzi
binafsi mmu inanichosha na threads za mafundisho ya sex kutwa
tena vitu vyenyewe ni marudio au publicity stunts....

Mkuu The Boss humo nilimobold panahusika sana. Chit chat ikiwezekana iwe sub forum ya MMU na zile mada ambazo sio serious sana zitupiwe huko. Na pili tume'stikc' sana na sex aisee..yaani tumegeneralize kama MMU ni sehemu ya kujadili jinsi ya kuridhishana kingono tu..lol!
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja ila kwa walakini!!! Mimi binafsi sio mpenzi sanaaa wa kusoma matatizo, tragedy na stress za wapenzi, japo nasomaga somaga sometimes, kiukweli japo sio poa napendaga sana MIZAHA! MIZAHA! watu wanayocomment inakuwa entertaining na interesting kwa mpigo! So hata heading ya thread kama haijanivutia nikiona ID tu ya mtu mwenye mzaha amecomment lazima nikasome amecomment upuuzi gani! Ila hata mimi sipendi CONVERSATIONS NJE YA MADA! Hasa mtu unakuta nimecomment afu jitu linaanza kuget PERSONAL na kutaka kukujadili wewe uliecomment!!!!! WTF!!!! Soma comment, umeipenda LIKE, Hujaipenda pita kimya, huwezi iquote na kuijibu! Hutaki kojoa ulale!

Huwezi leta mada ambayo wengine wanaiona ina utata
halafu ukiulizwa maswali au mtu akichangia against na wewe
useme ni personal attack......
kama hutaki kujadiliwa au kuulizwa au kupingwa peleka threads chit chat..

ukileta MMU ambapo watu tunataka kuamini ni more serious basi lazima kila kitu kijadiliwe
including lengo la muanzisha thread.......na maana yake

wewe kama hupendi hiyo peleka threads chit chat au jukwaa la wakubwa ambapo
lengo la jukwaa linafahamika

unaleta mada MMU mwenyewe unasema ni 100 percent prostitution sasa na hutaki watu wa kupinge?
seriously?
 
mimi nafikiri chi chat liwe sub forum ya mmu
hii itasadia sana
wengine chi chat wanaiona iko mbaali sana
ikae kama love connect ilivyokaaa

itapunguza mno yote haya....kingine threads za jukwaa la kikubwa zipelekwe huko
na sio mmu.....itaondoa kero kwa wasio taka kujadilui sex mmu
na badala yake tujadili mahusiano na mapenzi
binafsi mmu inanichosha na threads za mafundisho ya sex kutwa
tena vitu vyenyewe ni marudio au publicity stunts....

Well said The Boss hiyo ni alternative!
 
Last edited by a moderator:
Kaunga na kuunga mkono kwa hili kwakweli, sababu unajua jukwa hili ni muhimu sana na tungependa kuona tunajadili mambo muhimu na yenye msingi kwenye mahusiano.

Ni vyema mods waangalie kwanza mada ya kuendelea kukaa kwenye hili jukwaa kama ina kidhi viwango, ni wengi hili jukwa lime kuwa msaada kwetu lakini muda mwingine kejeli na matusi vina haribu hili jukwaa.

Swala la thread zisizo na viwango liangaliwe sana si kila kitu kipate haki ya kuwa on line eti sababu ni mahusiano, kuna thread nyingine una kuta hazina uzito kabisa na ni mistari miwili tu lakini bado zina pewa nafasi.

Ni bora sheria kwenye hili jukwaa zikaongezeka ili kuriboresha zaidi kwani tumelivamia sanaaa.

Mtu mwingine akikonyezwa njiani ana kuja kufungua thread ya mistari miwili "nimekonyezwa"
huo ni mfano tu, kwani kuna nyuzi za namna hii humu jukwaani.

Mi naomba mods wafanyie kazi mapendekezo hayo kwani si kila kitu nicha kupost au kuomba ushauri.
Kwa vile kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kuhusu jukwaa kuvamiwa, mimi nafikiri kuwepo na sub forum ya Great Thinkers kama ilivyo kwenye siasa; kuwe na qualification katika kuchangia kule. Na maswala yanayoumiza kichwa tu ndiyo yajadiliwe huko.

Post kama 'napita tu' zisiwepo,
Uchakachuzi aina yoyote usiruhusiwe,
Matani/jokes ambazo hazijibu hoja zisiruhusiwe.

Nadhani hii itasaidia wenye real problem kupata misaada ya michango ya mawazo mizuri ili wafanye maamuzi yanayofaa. Mahusiano ni changamoto na itaendelea kuwa changamoto, trend iliyopo sasa hivi mchangiaji wa kwanza akijibu hovyo au kuweka mizaha, basi trend yote ya michango hubadilika na kuwa mizaha/utani au hata matusi.

Ninajua wengi wetu, mimi mmoja wapo ni wachakachuzi wazuri tu; lkn kukiwa na restriction huko (kwamba once umechakachua then unanyimwa access ya kupost huko) then heshima ya zamani (before my time) itarudi.

Au kama kuanzisha sub forum ni tatizo basi, jukwaa zima liangaliwe upya na rules ziangaliwe tena ili vitu visivyo serious vibakie chit chat!

Sijui kama nimejieleza vizuri, lakini hayo ni maoni yangu; you are welcome to contribute.
 
Huwezi leta mada ambayo wengine wanaiona ina utata
halafu ukiulizwa maswali au mtu akichangia against na wewe
useme ni personal attack......
kama hutaki kujadiliwa au kuulizwa au kupingwa peleka threads chit chat..

ukileta MMU ambapo watu tunataka kuamini ni more serious basi lazima kila kitu kijadiliwe
including lengo la muanzisha thread.......na maana yake

wewe kama hupendi hiyo peleka threads chit chat au jukwaa la wakubwa ambapo
lengo la jukwaa linafahamika

unaleta mada MMU mwenyewe unasema ni 100 percent prostitution sasa na hutaki watu wa kupinge?
seriously?

The boss unanitafutia BAN ya nguvu! Kwani kitu nikiandika lazima usome? wewe ushajua mada zangu sio endelevu si usome thread zingine? Kuna thread 100 kwa siku zote mpya!

Mimi siwezi kuandika kitu unachokitaka au unategemea niandike! Kama maisha yangu na wanaonizunguka umeona Huyapendi usisome thread zangu. Siwezi kuandika mambo ya MKE MWEMA wakati sio kweli, na siishi hivo! Sasa we ushanijua kwanini upate taabu ya kusoma na kucomment!
Mimi kuna watu nishawajua kuwa mada zao ni endelevu na mimi sio mpenda maendeleo so sisomagi thread zao hataaa! Ila najua kuna watu wanazipenda so siwezi kwenda kule kuwachafulia napita kimya kimya.

Hitimisho I POST WHAT IS IN MY LIFE! IF U DONT LIKE IT SIMPLY DONT READ MY THREADS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom