Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Heshima kwenu wanaJf,
Nilikuwa nafatilia politiks za mfamaji Gaddaf,anavyotapatapa kung'olewa..Imefikia kipindi pamoja na Jeuri na Kibri yake anaegemea na kutarajia msaada wa mgawanyo wa Kikabila..
Ndugu zangu hili si jambo dogo,ninalitazama katika angle hii:- au Litamsalimisha gaddaf au atang'oka baada ya Genocide kubwa ya walibya..
Jambo hili limenipa fikra juu ya Tanzaznia yetu. Ni ukweli usiopingika,Kikwete amenufaika mno na propaganda hii ya Udini,na pengine kama si uchakachuaji wa Nec,hii kitu ya Udini ingetosha kumrudisha ikulu.. Point yangu:--- kwa malengo yoyote yale yenye nia ya Mapinduzi (ambayo ningependa yatokee hata leo), ni lazima kuwe na juhudi kubwa za kuwaelimisha watz,kuwa wezi na mafisadi wanakwiba na kulindana kwa kigezo hiki. Na ikitokea mkereketwa akasikika,basi PARAPANDA YA UDINI INAPIGWA.. Labda ndiyo mwavuli wa kikwete &co.. Wanaharakati wote including CDM kila wanapopita wawakumbushe wananchi hii kitu.. Tungependa siku maandamano ya kimapinduzi yakiitishwa basi tujitokeze Wakristo kwa Waislam kwa Wapagani. Kwani uovu wa Kikwete athari zake zinatupata watz wote,bila kubagua dini wala itikiadi.
Nilikuwa nafatilia politiks za mfamaji Gaddaf,anavyotapatapa kung'olewa..Imefikia kipindi pamoja na Jeuri na Kibri yake anaegemea na kutarajia msaada wa mgawanyo wa Kikabila..
Ndugu zangu hili si jambo dogo,ninalitazama katika angle hii:- au Litamsalimisha gaddaf au atang'oka baada ya Genocide kubwa ya walibya..
Jambo hili limenipa fikra juu ya Tanzaznia yetu. Ni ukweli usiopingika,Kikwete amenufaika mno na propaganda hii ya Udini,na pengine kama si uchakachuaji wa Nec,hii kitu ya Udini ingetosha kumrudisha ikulu.. Point yangu:--- kwa malengo yoyote yale yenye nia ya Mapinduzi (ambayo ningependa yatokee hata leo), ni lazima kuwe na juhudi kubwa za kuwaelimisha watz,kuwa wezi na mafisadi wanakwiba na kulindana kwa kigezo hiki. Na ikitokea mkereketwa akasikika,basi PARAPANDA YA UDINI INAPIGWA.. Labda ndiyo mwavuli wa kikwete &co.. Wanaharakati wote including CDM kila wanapopita wawakumbushe wananchi hii kitu.. Tungependa siku maandamano ya kimapinduzi yakiitishwa basi tujitokeze Wakristo kwa Waislam kwa Wapagani. Kwani uovu wa Kikwete athari zake zinatupata watz wote,bila kubagua dini wala itikiadi.