Mimi nimetembelea maeneo ya Mabogini kilomita kama tano toka Moshi mjini nikiwa katika hii Reli, kweli hali ni mbaya sana kiasi kwamba hata wauza vyuma chakavu walikwisha iba ngozo za chuma zilizokuwa pembezoni mwa reli hii hazipo tena, Halafu nashanga hawa vigogo wa CCM leo wamesimama jukwaani huko Jangwani na kujisifu. Reli maeneo haya imefunikwa na kichaka haipo kama zamani tulivozoea kuiona. Hii ni aibu kubwa sana kwa nchi kama hii yenye utajiri mkubwa. Wa madini ya kila aina.