hassansaid2010
Member
- Jan 2, 2011
- 12
- 2
Mimi Hassan Said nasikitika kuwa ule ujumbe nilioutoa tarehe 20 mwezi 3 mwaka 2012 kuhusiana na kutafuta mke kupitia jf , nasitisha rasmi zoezi hilo leo tarehe 30 mwezi 3 mwaka 2012 kutokana na walengwa wengi niliowasiliana nao kukosa umakini(seriousness) katika suala hilo.Asanteni sana