Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Karibu Arumeru ... Special for Mr & Mrs Rejao kwenye part ya kuzika gamba.. nimeweka booking ya viti viwili pleeeease mcniangushe
Daktari kashauri nitulie nyumban na kuepukam mavumbi na makelele yanayohusiana na mambo ya sihasa yataleta madhara kwa mtoto,mme wangu rejao kashauri tukapumzike zanzibar kwa mwezi japo 1,we are sorry hatutaweza kuhudhuria kwa kufata ushauri wa daktari kwa kulinda afya ya mwenetu!