Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Kwa wanaoangalia ITV naona breaking nyuzi Mtangazaji Reinfred Masako akijielezea atakachofanya wakati wana CCM watakapompa ubunge wa ulanga magharibi.
================
Kwa niaba ya waandishi wenzako nakutakia kila la kheri mzee.
Mtangulize sana Mungu kwe nye uchaguzi wengi wanateseka sana wakati wa uchaguzi siitaji kukutisha lakini mwamini Mungu atakutetea ukikimbizana na yale mambo yetuu ya Bagamoyo
soon tutakusahau Mbunge wetu mtarajiwa
UBUNGE BILA UCHAWI INAWEZEKANA toa mfano uitaji kulala uchi masaa 72 kwenye vibana vya udongo upate ubunge
Godbless u
================
Kwa niaba ya waandishi wenzako nakutakia kila la kheri mzee.
Mtangulize sana Mungu kwe nye uchaguzi wengi wanateseka sana wakati wa uchaguzi siitaji kukutisha lakini mwamini Mungu atakutetea ukikimbizana na yale mambo yetuu ya Bagamoyo
soon tutakusahau Mbunge wetu mtarajiwa
UBUNGE BILA UCHAWI INAWEZEKANA toa mfano uitaji kulala uchi masaa 72 kwenye vibana vya udongo upate ubunge
Godbless u