PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
Wakuu nataka kutumia registry cleaner ili niweze kuspeed-up machine coz kuna mtu aliniambia kuwa hiyo njia inasaidia kuongeza speed ya computer, lakini kuna rafiki yangu mwingine anasema kama nikifanya hivyo kuna uwezekano mkubwa wa computer yangu kuwa recognized na microsoft company, so watafunga baadhi ya program ambazo computer yangu inazihitaji, sasa nipo kwenye dilemma waheshimiwa nitumie hiyo kitu au niache na kama nikitumia kuna madhara gani au kuna njia yoyote ya kuongeza speed kwa logic kwamba iwe inafunguka fasta hata nikiwa nafungua browser maana imekuwa slow mpaka inaboa..zamani haikuwa hivi ni baada ya kuitumia kwa muda na kuhusu scanning huwa nafanya mara kwa mara, so nina uhakika sio wadudu, msaada wandugu.