Ee mungu wangu kumbe ni kweli!:yawn: jamani! jamani! sijui siku ya leo itakuwaje kwangu mimi alikuwa ni jembe langu la ukweli kalale pema peponi Kamanda.HAKIKA SISI WOTE NI WAJA WA ALLAH NA KWAKE NI MAREJEO
''Kuna ajali imetokea Ruvu ambapo gari la mbunge maalum wa Chadema jimbo la Kilombero Regia Mtema limegonga coaster na kusababisha kifo kwa mbunge huyo. Taarifa kutoka Kibaha zinasema mida hii mwili wa mbunge huyo ndio unaingia katika mochwari ya Tumbi, Kibaha.'' SOURCE lukwangule entertainment
ni kweli mkuuhakuna aliyeconfirm?
mhhh! wondeful