Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
This is not serious.si juzi tu hapa alikuja na uzi wake hapa jf akitaka maoni ya wanajamvi na matatizo ya wananchi ili akayawakilishe bungeni!! Ee Mungu wangu tusaidie. R.I.P Regia Mtema.
 
Wakuu hakuna anayekuja na taarifa kuwa hii habarini ya ukweli au ni uzushi wa mtaani maana namuona Invisible na Max humu
 
Gari alilokuwa akiendesha Mwenyewe(Land Cruise)HZJ 100 alilolonunua Locus kwa mkopo wa Bunge ndo alilopata nalo ajali,Leo alimuacha Dereva wake na kujaribu kuliendesha mwenyewe.RIP regia
 
Daaaahhhh masikitiko makubwa
M/Mungu aiweke roho ya marehemu Regia mahali pema peponi. Amina
 
Habari zilizothibitishwa na JF ni kuwa Regia Mtema (mb) amepata ajali na Kufariki dunia eneo la Ruvu Darajani.

Ndugu wa Karibu wanasema alikuwa kaenda kukagua Kiwanja alichopewa na Wazazi wake

I pray this news is NOT true, Very hard to Believe!

I'm still mouth open and Speachless! NO COMMENT
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom