TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Wakuu,
nimeona niwajuze habari hii ili kwa yeyote mwenye mapenzi mema na mwana JF mwenzetu aliyetangulia mbele ya haki marehemu REGIA MTEMA kuwa.
chama cha walemavu tanzania CHAWATA kesho tarehe 25.04.2012 Kitafanya ibada maalum ya kumuombea aliyekuwa Mkurugenzi wao wa idara ya vijana na mwakilishi wao ndani ya bunge marehemu regia mtema itakayofanyika katika kanisa la KRISTO MFALME-TABATA MAGENGENI SAA 3 ASUBUHI.
Tukiwa kama wadau na marafiki na wanajukwaa wenzake maremu tunaombwa kuhudhuria bila kukosa.
source; baba wa marehemu na MWENYEKITI WA CHAWATA-0759761870.
Nawasilisha.
nimeona niwajuze habari hii ili kwa yeyote mwenye mapenzi mema na mwana JF mwenzetu aliyetangulia mbele ya haki marehemu REGIA MTEMA kuwa.
chama cha walemavu tanzania CHAWATA kesho tarehe 25.04.2012 Kitafanya ibada maalum ya kumuombea aliyekuwa Mkurugenzi wao wa idara ya vijana na mwakilishi wao ndani ya bunge marehemu regia mtema itakayofanyika katika kanisa la KRISTO MFALME-TABATA MAGENGENI SAA 3 ASUBUHI.
Tukiwa kama wadau na marafiki na wanajukwaa wenzake maremu tunaombwa kuhudhuria bila kukosa.
source; baba wa marehemu na MWENYEKITI WA CHAWATA-0759761870.
Nawasilisha.