Dada Regia wao wanapesa sisi tuna MUNGU
Vijana wapo wanalinda ushindi wao, wameapa kufanya mauaji pindi tu watakapochakachua
Kutoka Kilombero Mgombea wa CHADEMA Regia Mtema anaongoza kwa takribani kura 1250 na jitihada kubwa inatafuta kuweza kupata kura zitakazochakachua hizo. Fomu kutoka baadhi ya vituo zimeota mbawa na kama zile fomu kwenye mji mwingine ambazo ziligoma kuingia kwenye mashine hizi za Kilombero hata kuja hazitaki kuja.
Inaonekana kuna hali ya kukata tamaa na mwisho kama sehemu nyingine itabidi wakubali sauti ya watu isikike. Kama ushindi ungekuwa unakubalika mara moja jimbo la Kilombero lingekuwa ndio jimbo Pekee Morogoro kwenda upinzani..
Tusubiri.. labda hizi fomu zikipatikana zitakuja na idadi ya kuwatosha watani wa Chadema, CCM..
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma
Matokeo Tunduru Kaskazini
Kikwete amepata kura 22,261
Slaa amepata kura 1,965
Lipumba amepata kura 12,935
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma
Matokeo Tunduru Kaskazini
Kikwete amepata kura 22,261
Slaa amepata kura 1,965
Lipumba amepata kura 12,935
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma
Matokeo Tunduru Kaskazini
Kikwete amepata kura 22,261
Slaa amepata kura 1,965
Lipumba amepata kura 12,935
Je kuna taarifa zozote kuhusiana na Dada Regia huko Kilombero?[/QUO
WANA-CHADEMA NA WAPINGA MAFISADI WA KUANZIA KIDATU, MSOLWA, SANJE, MANG'ULA, KISAWASAWA, KIBEREGE, SIGINAL, SAGAMAGANGA, LUNGONGOLE, KIKWAWILA, KAPOLO, KIBAONI, IFAKARA, MLABANI, LUMEMO, LIPANGALALA KIYONGWILE, MACHIPI, IDETE, MIWANGANI, NAMWAWALA, LWIPA, MBINGU, MNGETA, IKULE, CHITTA, MLIMBA MPAKA MASAGATI!! HAMIENI IFAKARA BOMANI, NASIKIA WANATANGAZA SAA 4 ASUBUHI MTEKETA ANAJIVUNA ANA PESA, KAUNGANENI NA DADA YETU MWANA HARAKATI KUPINGA UONEVU.
KILOMBERO NA ULANGA MPAKA MALINYI UNASHANGAA WANACHAGUA WABUNGE WA CHAMA KISICHOWASAIDIA TANGU UHURU, YAFUATAYO NI MATATIZO SUGU YA WATU WA HUKO:
WANANCHI HAWA WANAHITAJI 'MWOKOZI' TWENDENI TUKAMSAIDI DADA YETU
- HAWANA BARABARA, UKISAFIRI KWENDA ULANGA NA KILOMBERO BARABARA NYEMBAMBA YA LAMI IMEISHIWA KWA 'WAWEKEZAJI WA MASHAMBA YA MIWA'
- MILIMA NA MABONDE YAMEJAA MAJI LAKINI WANANCHI HAWANA MAJI SAFI
- ZAHANATI NA VITUO VYA AFYA HAVINA DAWA ZAIDI YA MSAADA WA HOSPITALI ZA MISHENI
- ELIMU BADO NI DUNI SANA PAMOJA NA BARAKA ZOTE ZA BONDE LA KIJANI LAKINI SERIKALI IMEWATUPA
- TUNAZALISHA UMEME HUKO LAKINI VIJIJI VINGI UMEME UNAPITA KUELEKEA MJINI, UMEME WA IFAKARA PIA FEKI HUZIMIKA ZIMIKA NA HAUNA POWER STATIONS NDOGONDOGO UKIZIMIKA MKAMBA MPAKA MAHENGE
'PEOPLE'S POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR!!!
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma
Matokeo Tunduru Kaskazini
Kikwete amepata kura 22,261
Slaa amepata kura 1,965
Lipumba amepata kura 12,935