Regia adai kiwango cha elimu kimeshuka; PhD bungeni sawa na BA?

Kama ni kweli basi atakuwa amewadhalilisha wasomi.
Madokta hawa???


_DSC0183.JPG
 
nasikitika kusema regia mtema ni kama kuku pale anaposhindwa kutofautisha phd na degree ya kwanza kwa vigezo vyovyote vile whatsoever
Ndio matatizo ya kuishia kufundishwa na walimu wa Grade A waliosoma ualimu Alharamain. Ukija kufundishwa na mtu wa PhD ndo utaelewa Ukilaza wao. Regia yupo sahihi 100%
 
kuna watu hawajasoma sana na wana thinking capacity yao ni kubwa kuliko wasomi.

Agalia mfano wa wavumbuzi wa vitu na mambo mengi. Angalia Phd holder wangapi wana innovate new things.

Nadhani Regia mtema alikuwa na ujumbe mzuri ila kakosea maneno ya kutumia
 
munaposema kwenye thread heding kwamba amelinganisha PHD na BA.... unamaana amelinganisha PHD na Bachelor of Arts .... acha uongo bana
 
Ndo maana bunge halijaweka kigezo cha elimu bali ni kusoma na kuandika hata kama ulikomea darasa la 3 yote sawa tu.Sasa niambie wangapi ni Phd holders afu full upupu,mi naona alikosea kulinganisha phd na barchelor angetakiwa aseme Phd wengine ni sawa na mwanafunzi wa darasa la pili aliekuwa na mwalimu mmoja tu shule afu tcha mwenyewe mlevi anakuja mara 1 kwa wiki. Eti Phd, nonsense Phds
 
wacheni kujistify pumba na hoja za kikuku kwa sababu ya itikadi za chama.thinking capacity ya phd holder haiwezi kuwa kama ya degree holder.never!
 
Mh.Regia Mtema mbunge wa viti maalum wa CHADEMA wakati akijadili hotuma ya Rais katika kipaumbele cha Elimu amelidanganya bunge na Taifa kwa ujumla akiongelea kushuka kwa elimu ya Tanzania.

Akitoa mfano wa kushuka kwa elimu kwa kusema kusema eti yeye hakuna tofauti kati ya mtu mwenye PhD na mwenye digrii ya kwanza katika 'thinking capacity'.

Nawasilisha..

Kama PhD zenyewe ndio hizo za online tena from unaccredited universities kama hizo za akina dr. Nchimbi, ni bora undergraduate ya mlimani
 
Aje atetee utumbo wake hapa.Mimi nasimamia
ukweli na wala siangalii itikadi.Hata Mbowe
akichemka lazima aambiwe ukweli.
 
Mheshimiwa Regia mtema amesoma SUA ninamfaham sana. Huo uwezo wa kuongea na kuchambua mambo ametengenezewa na maproffessor wa SUA wamechangia kwa kiasi kikubwa kumfanya awe kama alivyo. Mimi ninafikiri ameteleza kidogo kwa hilo.

Mi nimesoma SUA sijawahi ona profesa anapoteza muda wake kumjengea mtu uwezo wa kusoma zaidi ya kuingia darasani na kuproduce notes na kuzifafanua ili watu wapate sehemu ya kusoma maswali ya mitihani.
 
wacheni kujistify pumba na hoja za kikuku kwa sababu ya itikadi za chama.thinking capacity ya phd holder haiwezi kuwa kama ya degree holder.never!

Hajasema ni wote bali most ya wanasiasa najua unabisha kwa sababu una phD lakini badala ya kujitetea unatakiwa u prove yuko wrong kwa ka hypothesis kadogo tu mkuu kuliko kulalamika. Mbona imekuuma sana?. phD siyo Omniscience bali ni reductionists kwa hiyo ufahamu wao ni wa kitu kidogo kati ya vingi kwa upana wa hicho kidogo.Ukweli ni kwamba knowledge ya phD holder imefungwa kwa kile alichosoma na tusidanganyane wanajua saaana
 
Kama PhD zenyewe ndio hizo voda fasta za online tena from unaccredited universities kama hizo za akina dr. Nchimbi, ni bora undergraduate ya mlimani
 
Ule ni uongo wa graduate wa SUA,amejawa fitna kuliko kuwa mkweli,sishangai sana lakini manake kama Mhonga(CHADEMA) ana degree ya UDSM na kashindwa na Buyogela mwenye elimu ya msingi kwenye kujieleza wakati wa kuwania nafasi za ukamishna wa tume ya bunge basi degree yaweza kuwa haina maana!!!
 
ni kweli kabisa vitu vingine sio lazima utumie nguvu nyingi kufikiria.alichosema Regia ni sahihi kabisa,elimu ya sasa imeshuka na uelewa umekuwa chini sana huwezi tofautisha ati!me mwenyewe huwa nikiangalia bunge na nilivyomsikia regia akiongea leo,naona kama yeye ndio ana PHD na wabunge wa CCM wana ordinaries diploma
Bravoo dada Regia umeanza vizuri na unatufanya wanawake tujivunie uwepo wako bungeni wewe na Halima mdee na sio uwepo wa spika denti Anna
Ina maana hata wewe una phD? basi ndio maana thinking capacity yako inashindwa kupambanua maana ya kudanganya na ukweli.

Regia yuko right kwani hujaona mtu mwenye first degree au diploma wakiweza kuchambua mambo kuliko maprofesa ? Na wewe hutakiwi kuambiwa tumia tu akili ya kawaida kuona hili

Regia big up!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
msimwewekee regia maneno mdomoni kwake ambayo hakuyasema.alisema mwenye degree sasa ni sawa na mwenye phd,hakutofautisha mwenye kuhold hiyo degree wala fani which is very embarrasing to herself.how can you just compare a normal doctor who has one degree and a consulting doctor kwamba wako sawa? Examples can go to other fields as well.anayemuunga regia mtema katika hili inabidi akiriview kichwa chake kwanza
 
Regia ni mfano wa wabunge makini kabisa ambao CDM inao, mimi nashauri 2015 yule mgombea mwenza wa slaa (Mzee) akigombea urais basi regia awe mgombea mwenza maana huyu dada kama wabunge wote CDM kajaliwa busara na anaakili sana hawezi kabisa kumwaga pumba.
 
Alikuwa na maana pana zaidi ya wengi wanavyofikiria
Watu wananunua paper kuanzia olevel hadiphd wananunua!c tunawajua au mmewasahau?phd chache za maana kama za madr. Na maprof walioko ccm wanaziacha dar kwa makamba ,bungeni wanakuwa mazuzu tu!!!
 
wacheni kujistify pumba na hoja za kikuku kwa sababu ya itikadi za chama.thinking capacity ya phd holder haiwezi kuwa kama ya degree holder.never!

usugeneralize mkuu si kwamba ukishakuwa dr basi unakuwa na uwezo kuliko mwenye bachelors degree mkuu virtually. Mara ngapi wasokwenda shule wanafanya mambo yenye tija kuliko walopigwa na umande? Mifano si tunayo, angalia mjengoni wako wangapi waloacha professions zao na kuvamia siasa na bado wanafanya yote kwa ajili ya wake zao tu? binafsi niliwahi kufundishwa na drs kibao lakini ukilinganisha na wale walokuwa na license za kufundisha kwenye higher learning institutions ni bora kuliko hao mnaowaita drs (Ingawa si wote)
 
Back
Top Bottom