ile sio yule mapetroli bwana,najua wako wengi tuyah maaaang mosty from sukuma land
ile sio yule mapetroli bwana,najua wako wengi tuyah maaaang mosty from sukuma land
shem ushaiona ile tape ya ray akimkanyaga huyu bibie......Shosti,
Mie nilikuwa naamini hivyo ila baada ya kuona wako na RayJ tena, nikajua kuwa kijana alikakoleza si kawaida. Ila sema yeye alikapata wakati bado katoto na hakajapata umbo la Mwanamke..........
Hawa wengine sijui ila Ray naona lilikuwa penzi kwelikweli.
Kim hawezi kuolewa maana yeye anaishi kwa Skendo. Akiwa mke wa mtu, atajifunga sanasana.
aaah kama ni WEma sio msukuma yule.....ni dadake Kibunango....wasukuma hawana tabia za kifedhuli kama wema sepetuile sio yule mapetroli bwana,najua wako wengi tu
mimi nshauiona hamna kitu kabisa,kalala kama gogo halafu anajidai oooo baby ndio nini!shem ushaiona ile tape ya ray akimkanyaga huyu bibie......
aisee toto lajua kulia hili.....
bwahahahahahahahahahahahhahahahhhah ngrrrrrrrrrrrrrrrhapo kwenye bold inaelekea mademu wa kichaga wanakuumiza kichwa kweli....!!!!!
kwani wema ndo mapetroli...wema wa ukweli yule si basi tu hajithamini!aaah kama ni WEma sio msukuma yule.....ni dadake Kibunango....wasukuma hawana tabia za kifedhuli kama wema sepetu
ulitaka acheze kiduku?mimi nshauiona hamna kitu kabisa,kalala kama gogo halafu anajidai oooo baby ndio nini!
kwa kuwa Kim sio...ndo yaleyale mwarabu akienda kwao kenda Dubai eeee,mzaramo kenda ngomani!ulitaka acheze kiduku?
mapetroli plus mkorogoile sio yule mapetroli bwana,najua wako wengi tu
hahahahaah bora uache kabla hujafedheheka....Kim feki ile mbaya,si bora hata Bhoke alitikisa viguuuYo Yo khaaa!!!!! Yaani wewe na huyu Kim ni kama koti la Mzee na Chawa.........
Shosti, umenikumbusha zile story za Bhoke kuharibu utalii wa Tanzania kwa kulala kama Gogo. Ina maana Armenia watu hawataenda kwa sababu Kim alilala kama Gogo? Kasheshe kwelikweli hii mitandao......
Ngoja niache kutukana maana nimegundua kuwa Mwanangu na Mumewe (mkwilima) wanasoma sana JF na wamejua mie ni nani.
mimi nshauiona hamna kitu kabisa,kalala kama gogo halafu anajidai oooo baby ndio nini!
ndo mnavyojidanganyaeeee....mbona watiu wanapiga vibao halafu wanatoka nduki!kitu kama mawater hata upige sarakasi kazi bure.....mnato hauhitaji mbwembwe za kupiga ringi au sauti ya kutafuna miwa................
hahahahaah bora uache kabla hujafedheheka....Kim feki ile mbaya,si bora hata Bhoke alitikisa viguuu
hahahhaah wakitugundua tumekwisha...sie tunamlaumu Bhoke bure tatizo lilikuwa kwa mtoto wa kiume,wakati bi dada mambo yanashika kasi anatikisa kiguu jamaa kashafika kigoma mwisho wa reli sasa unategemea nini...utaliaje bila kulizwa bwana mbona waniangusha!Hahahaaaaa, Shosti weweeeee..... Ngoja nipige kelele ya Kinyamwezi ya kike "heheelu."
Yaani kumbe Bhoke anazidi watu tayari? Ila walau Kim hakutumia kifo cha Mende maana Bhoke kuanzia mwanzo hadi mwisho, alikuwa yuko na miondoko ya Wamishonari (kifo cha mende). Ile Kamguu alikatikisa utafiri wachezaji wa Kwasakwasa enzi zao, hahahaaaa........ Pia Kim walau alikuwa anaongea na kulia ila huyu Bhoke wako, kajikalia na umarehemu mende wake
Sawa bana, kama nilivyosema, msinivute zaidi nikaropoka maana binti yangu yumo ndani hapa na mumewe huku mjuu wangu anakodolea SKIRINI iliyoandikwa JF ila unakuwa huru hadi wakugundue nduguzo.....
kwani tatizo liko wapi tukiwa vichekesho...laiti tungepata nafasi ya kuwakodolea mimacho , wewe shosti na mwenzio sikonge mnavyoselebuka kitandani.................,
yumkini tungepata cha kusema, yawezekana nyie ndo mkawa kichekesho kabisa...................
lol...mungu anisamehe bure!!!
laiti tungepata nafasi ya kuwakodolea mimacho , wewe shosti na mwenzio sikonge mnavyoselebuka kitandani.................,
yumkini tungepata cha kusema, yawezekana nyie ndo mkawa kichekesho kabisa...................
lol...mungu anisamehe bure!!!
hahahahahahahahahha kwa hiyo pengine maneno ya bacha yana kaukweli fulani...ila ntamshuhudishaHahahaaaa Mbavu zangu mie.....
Umejuaje kuwa tutakuwa kichekesho? Labda bana maana sijawahi kurekodi Video na mwisho niingalie mwenyewe na kutowa comment.
Sasa na mie labda huwa najiona ni mkali, ila nikijirekodi, ninaweza kuzimia mwenyewe kama watoto fulani waliokuwa wakitaka kwenda mashindano ya kucheza. Mzee wao aliwarekodi wakicheza kwa nguvu sana (kwa mawazo yao) na mwisho akawawekea video wajione - Hawajawahi kusema tena wanataka kwenda kwenye mashindano.