yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
REFA aliyechezesha mechi ya Azam amedudwa hadi kulazwa hospitali kutokana na Kuibeba AZAM! inasemekana refa huyo alikuwa akisubiliwa na mashabiki KWA HAMU ili wamdunde lakin baada ya mpira kwisha *alifanikiwa kutolewa kwa ulizi mkali wa polisi lakini alipofikishwa kwenye milango ya kubadilishia nguo polisi walimuacha na *watu walimvamia na kumdunda na alijeruhiwa vibaya ikwemo sehemu ya juu ya jicho....SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO! NAOMBA TIMU ZINGINE ZIIGE MFANO HUO KUTOA ADHABU KALI KWA MAREFA WANAOZIBEBA WAZIWAZI TIMU ZA TFF!*
soarce:michezo na majic:frusty:
soarce:michezo na majic:frusty: