Jana usiku wa Kucha redio hiyo ikitupasha habari kwamba baadhi ya mawaziri wamejiuzulu kupitia breaking news
Lakini cha ajabu leo asubuhi redio hiyo wakati wa kipindi cha magazeti, wakati magazeti yote yakiwemo magazeti yao kama nipashe likiandika habari hiyo. mtangazaji aliviruka vichwa vyote vinavyohusu habari hiyo.
kwa ufupi mtangazaji hakutangaza kabisa. Jee huu si unafiki
Lakini cha ajabu leo asubuhi redio hiyo wakati wa kipindi cha magazeti, wakati magazeti yote yakiwemo magazeti yao kama nipashe likiandika habari hiyo. mtangazaji aliviruka vichwa vyote vinavyohusu habari hiyo.
kwa ufupi mtangazaji hakutangaza kabisa. Jee huu si unafiki