Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Waungwana wa JF mbona tangu Dr. Slaa atangazwe kugombea Urais kupitia Chadema, Tafiti zote zilizokuwa zinafaunywa na wataalam wa REDET hazipo tena?. Ni Matokeo hayapikiki tena, wameona Ngoma Nzito?