Elections 2010 REDET & Synovate hamtaweza kuzuia mabadiliko...

mimi ninaona mwisho wao ni oct 31 2010. maana hapa ni longo longo tu sasa, hawatabadilisha matokeo, haujamsikia Zitto alivyosema?
 
Wapenzi wa mageuzi na mabadiliko, matokeo ya tafiti hizi lengo lake ni kukatisha watu tamaa, sasa ndio zitakuwa changamoto na chachu zaidi ya kutaka mabadiliko, hiyo October 31, watu watashangaa hao Redet na Synovate, watatafuta pa kuficha sura zao na pasionekane!.

Hapo tuko pamoja Pasco. Ukiangalia jinsi mwamko wa wananchi ulivyo juu kwa sasa, CCM inatishika. Imejaribu kutumia mkakati wa offensive, ume-backfire. Sasa inaonekana ni lazima kutumia vitisho na kukatisha watu tamaa, hasa wale wenye roho nyepesi. Nyenzo zinazotumika ndiyo hizo za opinion polls zilizochakachuliwa, majeshi, hotuba kama ya mkulu jana huko Songea; na nyenzo zingine za dola.

Mwaka huu hapatatosha.
 
Wapenzi wa mageuzi na mabadiliko, matokeo ya tafiti hizi lengo lake ni kukatisha watu tamaa, sasa ndio zitakuwa changamoto na chachu zaidi ya kutaka mabadiliko, hiyo October 31, watu watashangaa hao Redet na Synovate, watatafuta pa kuficha sura zao na pasionekane!.

Mhh.............Kazi kwelikweli. Labda mwenzangu una unayoyajua ambayo siyajui...
 
Inakuuma sana ukisikia mambo kama haya ...unhaa

Hapana. Mtu kama Pasco akiwa na mtazamo kama huu inanifanya nifikirie zaidi...nimezoea kuona haya kutoka kwenu hivyo kuanza kusikia kutoka kwa watu ambao naamini wako informed na makini kama Pasco inanifanya nijiulize maswali mengi....

Umenielewa?
 
Hapana. Mtu kama Pasco akiwa na mtazamo kama huu inanifanya nifikirie zaidi...nimezoea kuona haya kutoka kwenu hivyo kuanza kusikia kutoka kwa watu ambao naamini wako informed na makini kama Pasco inanifanya nijiulize maswali mengi....

Umenielewa?

Omar, Unajarabu kusema kuwa mimi siko informed na siko makini? tofauti ya Pasco na mimi (watu kama mimi) ni ipi?
 
kubwa kwa watanzania wenzangu popote tulipo kazi kubwa ni kuwaelemisha wanawake na watu wa vijijini waende na haya mabadiliko, ninamini mia kwa mia wote wenye akili timamu wmetambua nchi yahitaji changes and time is now! Dr Slaa has proved it longtyme, so wapo wachache wanaodanganywa na kukubali! huwa naongea na wanavijiji popote niendapo na kuelezea uongo wa ccm na mbinu chafu za kutowaelimisha waendelee kuwa wajinga ili watawaliwe milele, wengi wanaelewa na kura za tar 31 oct zitadhihirisha hili! please a wom (word of mouth) is enough!
 
Watanzania wanachosubiri ni tarehe 31 Oktoba 2010 na siyo longolongo za kikwete, bi. salma, riziwan wala kinana na redet zao. Mwaka huu ccm itakiona cha moto. Nyodo za kikwete zitapotea kama barafu kwenye jua kali.
 
Hapana. Mtu kama Pasco akiwa na mtazamo kama huu inanifanya nifikirie zaidi...nimezoea kuona haya kutoka kwenu hivyo kuanza kusikia kutoka kwa watu ambao naamini wako informed na makini kama Pasco inanifanya nijiulize maswali mengi....

Umenielewa?

Omarilyas, Omarilyas... hivi na wewe unajiweka katika kundi la watu makini ? Kasi yako, ari yako na nguvu zako za hivi karibuni katika kumtetea huyu Msanii inatuacha wengine mdomo wazi ! Ingawa siwezi kusema kwa hakika mapenzi yako kwa Kikwete na chuki zako kwa Dr. Slaa, zinachochewa na nini, but whatever it is, imekupofusha macho na kukuziba masikio, how sad !

Hata hivyo si vigumu kukisia unasukumwa na nini kwani haihitaji kuwa na kipaji chochote kile kuling'amua hilo, umelivaa kama shati na limekuganda hasa. Tuombe Mungu uchaguzi umalizike salama na wananchi wawe huru kutimiziza wajibu wao bila vitisho, upendeleo au wizi wa kura. Haka katabia ka kudanganyika kalikotawala nafsi fulani fulani kwa muda sasa, katakoma Octoba 31.
 
Omarilyas, Omarilyas... hivi na wewe unajiweka katika kundi la watu makini ? Kasi yako, ari yako na nguvu zako za hivi karibuni katika kumtetea huyu Msanii inatuacha wengine mdomo wazi ! Ingawa siwezi kusema kwa hakika mapenzi yako kwa Kikwete na chuki zako kwa Dr. Slaa, zinachochewa na nini, but whatever it is, imekupofusha macho na kukuziba masikio, how sad !

Hata hivyo si vigumu kukisia unasukumwa na nini kwani haihitaji kuwa na kipaji chochote kile kuling'amua hilo, umelivaa kama shati na limekuganda hasa. Tuombe Mungu uchaguzi umalizike salama na wananchi wawe huru kutimiziza wajibu wao bila vitisho, upendeleo au wizi wa kura. Haka katabia ka kudanganyika kalikotawala nafsi fulani fulani kwa muda sasa, katakoma Octoba 31.

Ni wapi mimi nimejiweka katika kundi la watu makini? Mimi ni kilaza tu. Dr Slaa ndio mtu makini.....

By the way sina chuki kabisa na Dr Slaa. Tatizo ni package yake haijatulia nami siko tayari kuacha Watanzania wakiuziwa mbuzi kwenye gunia...

Tangia lini nimemshabikia Kikwete? Yaani ninyi mnataka kumis-inform kila mtu hapa halafu muachiwe??? I just say what I think is the reality and oppose what I think ni majungu na myth lakini zaidi siasa za maji taka kama hizo mnazolalamika kuwa mnafanyiwa....

Ukombozi wa kweli unaanzia pale tutakapoanza kuwa tayri kutenda yale ambayo tunataka wengine watutendee na sio hii style ya dawa ya moto ni moto wakati Tanzania tayari ni dimbwi la mafuta...

"If we are afraid to fail, then we are useless. If we are afraid of criticism, we are useless. If we are afraid to stand up and speak the truth because the truth is not a popular commodity, then we are useless." Rabbi Keith Stern of Newton, Mass. USA
 
Kuingia jamvini na jina lako rasmi kunanifundisha jambo moja. Kumwelewa mtu zaidi ya umwonavyo!
Bora kubakia Mpambalyoto
 
:rockon::rockon::rockon:CCMna mwaka huu mavi lazma yawagonge chupi... mkibana ikulu basi bungeni wapinzani watawakimbiza hadi muone bunge chungu
 
Back
Top Bottom