Elections 2010 REDET & Synovate hamtaweza kuzuia mabadiliko...

Tusilalamioke sana, when you put things into perspective the situation is still in favour of Dr. Slaa, when you compare REDET and Synovate and presume that things are perfect, you realize that within 4 days Jk has lost 10%, If the man has lost 10% within 4 days and we are remained with 21 days to election day, mathematically JK will have remained with 8.5% until 31 st October !!!!!!! - If all other parameters remain constant.
 
Nimeyaangalia matokeo:

1)Statement ya kwamba bubu wakipiga kura JK itakuwa 70 ni ya kuonyesha mlivyojaribu kupika matokeo yafanane na ya REDET na inatia SHAKA!!!

2) UTENDAJI WA SERIKALI; JEDWALI LA KWANZA LIMEPIKWA kwa nini?
Ni ndoto watu wa umri (age) tofauti, gender (Wake na waume)tofauti, Watu wa mjini na Vijijini kuwa na mawazo sawa (Na si statistically bali nikiangalia kwa macho). Na kwa ujanja hakuna kutuonyesha mtazamo wa wasomi!Sababu ya nyie kutenga haya makundi ni kwa vile mnajua kwamba haiwezaekani ikawa hivyo. Mlijitahidi kuhakikisha kila kitu kinakuwa asilimia 50 au karibu na hapo.

3) Nani Unamwamini: IMEKAA KIITIFAKI (PROTOCOL) RAIS, MAKAMU WA RAIS, SPEAKER etc (Patamu hapa!)


4)Kiroja cha Mwaka: JK yupo kwenye list ya vijana...juzi tuliona birthday ya miaka 60 (Umri wa kustaafu kwa mjibu wa Sheria). Hao ndio Vijana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
CONCLUSION SINA HAJA YA KUENDELEA NA KUSOMA Ripoti iliyopikwa. SOMA KIROJA CHA MWAKA HAPA CHINI

http://api.ning.com/files/t7L4PKP4c...4kT8wfKzMob4MaFUr5-vT/MatokeoKurazamaoni3.pdf
 
Nimejaribu kusoma hiyo riport ila naona haina tofauti na invoice za Kinana.

Ngoja tusubir Oct 31 ndipo kitakapoeleweka.

Hata hivyo huu ni mkakati wa CCM kutegeneza mazingira ya kuiba kura ili waweze kujificha nyuma ya hivi vivuli vya Synavote na REDET.

JK akishinda msishangae Dr Bana anakuwa VC wa chuo kimojawapo.
 
Nimejaribu kusoma hiyo riport ila naona haina tofauti na invoice za Kinana.

Ngoja tusubir Oct 31 ndipo kitakapoeleweka.

Hata hivyo huu ni mkakati wa CCM kutegeneza mazingira ya kuiba kura ili waweze kujificha nyuma ya hivi vivuli vya Synavote na REDET.

JK akishinda msishangae Dr Bana anakuwa VC wa chuo kimojawapo.

Atapewa chuo gani?
 
Moja kati ya "madudu"ya yaliyoniacha hoi kwenye Report ya Synovote ni hii hapa walipowatangaza hawa ndiyo eti wabunge waliofanya vyema kwenye Bunge lililopita!Yaani Rostam na Lowassa nao ni wabunge bora?mhhhhh!

Nemroid Mkono 1% 0% 1% 1% 0% 1% 0%

Lawrence Masha 1% 1% 1% 1% 1% 1% 1%

Rostam Aziz 1% 1% 1% 0% 1% 0% 1%

Edward Lowassa 1% 1% 0% 1% 0% 0% 1%

Hamis Kagasheki 1% 0% 1% 1% 1% 1% 1%

David Mathayo 1% 1% 1% 0% 1% 0% 1%

Mohamed Dewji 1% 1% 1% 0% 1% 1% 0%

Paul Kimiti 1% 1% 1% 2% 0% 1% 1%

Bernard Membe
 
Moja kati ya "madudu"ya yaliyoniacha hoi kwenye Report ya Synovote ni hii hapa walipowatangaza hawa ndiyo eti wabunge waliofanya vyema kwenye Bunge lililopita!Yaani Rostam na Lowassa nao ni wabunge bora?mhhhhh!

Nemroid Mkono 1% 0% 1% 1% 0% 1% 0%

Lawrence Masha 1% 1% 1% 1% 1% 1% 1%

Rostam Aziz 1% 1% 1% 0% 1% 0% 1%

Edward Lowassa 1% 1% 0% 1% 0% 0% 1%

Hamis Kagasheki 1% 0% 1% 1% 1% 1% 1%

David Mathayo 1% 1% 1% 0% 1% 0% 1%

Mohamed Dewji 1% 1% 1% 0% 1% 1% 0%

Paul Kimiti 1% 1% 1% 2% 0% 1% 1%

Bernard Membe

Eee bwana mimi hiyo sikuona. Matokeo haya bwana
 
tatizo la wenzetu wanadhani wanapowasilisha issue yao kuwa ni utafiti, wanadhani kila mtu atakubaliana nao. Hizi ni enzi tofauti kabisa na enzi za mwalimu. kwa vile wameshindwa kufuata miiko ya utafiti, nasi hatukubaliani na matokeo yao feki. Cheers
 
Unajua hizi tafiti inategemea nani anakupa Per Diem.
Sishangazwi sana na matokeo haya. Watafiti hawa sio watafiti kama wanavyojiita watafiti bali ni watu wenye njaa na wenye kudhalilisha taaluma zao kwa maslahi ya matumbo yao
 
Je katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba utamchagua nani kuwa rais wa Jamhuri
ya Muungano ya Tanzania? Who will you most likely vote for as the Union
President in October current election?
61%-Rais Jakaya Mrisho Kikwete
16%-Wilbroad Slaa
5%-Prof Ibrahim Lipumba
13%-Hawakujibu
5%-Wengine
Waliobana maoni yao katika swali hili ni wengi sana asiilimia 13% ya wahojiwa wote.
Ikiwa watapiga kura ilivyodhihirika hapa basi 70% watampigia Jakaya Kikwete,
Wilbroad Slaa 18%, Lipumba 6% wengine 6%.


NONSENSE
 
Omar,

Tatizo lako Dr. Slaa au mabadiliko? Hakika pona ya CCM ni wizi ila uwe wa hi-tech. Siamini hapa Mambali mapokezi ninayoyapata yakiwa na ushikiano na uelewa wa Tz ijapokuwa ni km 40 toka nzega mjini.

Tatizo langu ni tabia ya kulazimisha uongo kuwa ukweli na alinacha kuwa hali halisi kama kinachoendelea hapa Jamiiforums...

Ni kweli kuwa watanzania wengi wanataka mabadiliko lakini hilo halimaanishi kuwa wako tayari kuuziwa mbuzi katika gunia ama kufakamia kila anayedai kuwa ndiye atakuwa mkombozi wao. Na hilo wana UKOMBOZI hawataki kulisikia wako busy kuwalisha kasa watu kuwa hali nzuri kumbe sivyo..........
 
moja kati ya "madudu"ya yaliyoniacha hoi kwenye report ya synovote ni hii hapa walipowatangaza hawa ndiyo eti wabunge waliofanya vyema kwenye bunge lililopita!yaani rostam na lowassa nao ni wabunge bora?mhhhhh!

nemroid mkono 1% 0% 1% 1% 0% 1% 0%

lawrence masha 1% 1% 1% 1% 1% 1% 1%

rostam aziz 1% 1% 1% 0% 1% 0% 1%

edward lowassa 1% 1% 0% 1% 0% 0% 1%

hamis kagasheki 1% 0% 1% 1% 1% 1% 1%

david mathayo 1% 1% 1% 0% 1% 0% 1%

mohamed dewji 1% 1% 1% 0% 1% 1% 0%

paul kimiti 1% 1% 1% 2% 0% 1% 1%

bernard membe

huyo rostam kwa lipi? Hajawahi sio kuchangia tu, hata kuongea bungeni!! Labda kama alishawahi kukooa! Ndio unaweza ukaipata sauti yake kwenye rekodi.
 
Kwenye gazeti la Mwanahalisi (current issue) there is a report on the employment of Synovate by CCM to facilitate both their dirty campaign and a plot to steal the election. So this poll result is no news as it was widely expected.

My Advice: Stay focused; never get distracted!
 
Imetangazwa na Synovate mchana huu

KIkwete - 61%
Dk Slaa - 16%
Prof Lipumba - 5%

Body language inawaumbua hawa jamaa....angalia jinsi wapambe walivyo absent minded bosi wao akitoa matokeo

c2OXAtur10gtlBtEnh2I56x0d4KDK8b5cErnVEF64gQrsOo2e8fUAWm4yrKiW2sZ7aKHGipTvECUAk9dkOLxerzCXOcGWyJn
 
Tayari wamekwwishaanza kuchakacua za Oct 31! Hawa kweli ni wasanii na hata body language imewaacha uchi!
 
''BUSARA KUBWA KICHWANI HAINA FAIDA, KAMA
MOYONI HAKUNA CHEMBE YA WEMA'' (Shaban Robert)
 
SYNOVATE NI KAMPUNI ILIANZA LINI SHUGHULI ZAKE:
Synovate inaonekana ni kampuni 'iliyojikita ktk tafiti za kimasoko'. Synovate haijawahi kufanya utafiti thabiti wa kutabiri matokeo ya chaguzi za kisiasa nje ya Afrika.
Synovate ni kampuni isiyokuwa na ofisi ijulikanayo kama makao makuu yake (No Headquarterrs). Kampuni dizaini hizi ni kwa ajili ya kupromoti bidhaa za kibiashara na kwa Tanzania wamekuja kwa ulaji tu, maana hawana uzoefu wowote ktk siasa na chaguzi. Tizama hata timu yao iliyokutana na waandishi wa habari kutoa 'ripoti', wowote ni vijana wadogo kama mimi wenye uzoefu mdogo kiutendaji. Hebu sasa tutembelee webusaiti mbalimbali hapa chini kujiongezea haki ya kuwa na mashaka na hawa jamaa wa Synovate :
Synovate Kenya

google map
Physical Location: Riverside Drive Westlands
Postal Address: 68320
Postcode: 00200
City: Nairobi
Country: Kenya
Telephone: +254 20 445 0190 to 0196
Email: info@synovate.com
Fax: +254 20 442 6432
Website: Global Market Research | Synovate


Founded in 2003
No headquarters
62 countries
5,968 staff*
31,359 projects across the globe*
31 million+ interviews worldwide*
263,638 focus groups / in depth interviews*
*as of December 2009
We help our clients meet the commercial challenges of the information age by constantly creating innovative ways of gathering facts, and turning that data into strategic business insights. If there's no existing method of finding out what you need to know, we'll invent it.
International

Being international is not the same as being global. We are a company built on borderless cooperation. Our structure fits wherever our people are based and fits the needs of clients wherever they are based.

Integration

Integration means our geographies, practices, industry verticals and teams work as one to power Synovate's growth. Our strength lies in involving and learning from each other.

Innovation

Innovation is about challenging the norm and stretching boundaries in order to create a more efficient and better quality business. It's not just about research techniques and big initiatives; innovation can come from anyone and anywhere within our business.
Source: Advertising and Public Relations - Synovate Kenya

www.synovate.com Synovate Research Reinvented
Global market intelligence from the world's most curios people
Award-winning market research

We consistently strive to be the best. Our clients always come first, driving us to continually develop more innovative research solutions that predict actual business results. Our people, processes and solutions have been recognized around the world as being best in class
2010 Agency of the Year Award: Quantitative Research and Qualitative Research

Marketing Magazine
Synovate Hong Kong was voted the number one market research company by senior client-side marketers in Marketing Magazine's annual Agency of the Year Award. To be recognized by clients in this way reinforces our unyielding focus to create and deliver the most innovative research solutions to help solve their most pressing business issues. Above all, we thank our clients for helping us achieve this top honour.
Read more »

mrsnz.jpg

The Supreme Award 2010

MRSNZ Market Research Effectiveness Awards
Synovate New Zealand was recognised for work on projects with Air New Zealand, Commonwealth Bank of Australia, SPARC, Astra Zeneca and several other top companies.
Read more »

most.engaged.jpg

North America's 50 Most Engaged Workplaces 2010

I Love Rewards
Synovate Canada was honoured to be named one of North America's 50 Most Engaged Workplaces. It is our people that make our business a success, and we continually strive to create an environment conducive to personal growth.
Read more »

david.winton.award.jpg

David Winton Award for Innovation 2008

MRS
Synovate won the coveted 2008 UK Market Research Society David Winton award for Innovation in Methodology for the paper "A New Measure of Brand Attitudinal Equity based on the Zipf Distribution". Published in the International Journal of Marketing Research, the authors, including Synovate's Jan Hofmeyr, and Paul Holtzman, describe a new measure of attitudinal brand strength for use as a dependent variable in survey questionnaires. This new approach predicts share-of-wallet behaviour at the respondent level for all brands in a survey.
Read more »
 
Back
Top Bottom