PongLenis
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 427
- 133
Red imekaa kimahaba zaidi!...inaleta mhemko;-)
I love Red sooo much! .. esp. ninapotoka na bint tukielekea kwenye candle dinner kavaa RED.. najisikia kama natembea na malaika
Red imekaa kimahaba zaidi!...inaleta mhemko;-)
Umeona eeeh... Alaf hata mm personally ni color yangu - I really luk good in red, ndo maana nikitoka outing hasa a day ambayo am feeling really good, nahakikisha nimetupia kitu red, hii inasaidia pia patner wako ajue si yeye peke yake ambae anakukodolea mimacho...
Ni rangi ambayo ni kali hivyo inafanya mtu awe noticed kuliko wengine. Na hivyo inamfanya muangaliaji achukua muda kumsoma mvaaji ndio maana mwisho anaona uzuri wa mvaaji.
Ila ni color ambayo watu hawashauriwi kuvaa kwenye interviews au any important official/business meetings. Sikumbuki sababu but I always take it that way. Sivai red kwenye interviews na kwenye mikutano ya maana ya kibiahsara/kiofisi.
I love Red sooo much! .. esp. ninapotoka na bint tukielekea kwenye candle dinner kavaa RED.. najisikia kama natembea na malaika
hahahahahha lol
basi itabidi tu exchange Woodrow hahahah lol
maana nilivyokuwa na date mmhh ni red tupu
na mie nikawa addicted ajiliza comment plus nyingi
nizipatazo za rangi hiyo ziko comfortable sana mmhh
kama ulivyosema "Especially kama naenda out ) lol
hahahah lol
usiwe mrefu sana tu basi..nahakika vingine vitaji solve vyenyewe hahahah lol
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon4.png[/IMG] Red Lingerie [/B]
ladies and Gentleman
leo nimeamua kuuliza kuhusu hii rangi..
kwanini au nini kinawafanya (wanaume)wapende red
utakuta mtu unaenda shopping na partner wako yeye
anakuchangulia nguo nyekundu especially kama ni Lingerie
inamaana hamjui rangi nyingine au?? vipi kuhusu yellow, purple, pink, blue etc
hahahah lol
mie nimeva rangi rangi tu lol
My dear mie mjadalalol, urefu si shida, miguu si ndo inaonekana zaidi, si uliona jana mjadala wa legs ulivyoenda....lol...naamini mambo yatajisolve tu! mradi assessories na sashes ziwepo...
PHP:[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon4.png[/IMG] Red Lingerie [/B] ladies and Gentleman leo nimeamua kuuliza kuhusu hii rangi.. kwanini au nini kinawafanya (wanaume)wapende red utakuta mtu unaenda shopping na partner wako yeye anakuchangulia nguo nyekundu especially kama ni Lingerie inamaana hamjui rangi nyingine au?? vipi kuhusu yellow, purple, pink, blue etc
Kwenye michezo red inaashiria kujiamini zaidi.........yaani inaamnika kwa kuongeza kujiamini zaidi..........wapo wadada wanaovaa chupi za red siku zao za hedhi zikifika................................sijui wanaficha kitu au ni mazoea tu..............................hata Valentine the colour is red......................................kuashiria mahaba yamechemka................................................
My dear mie mjadala
Wa mguu niliukimbia mmhh
khaaaa na hizi njiti zangu mmhhh
Kila mtu anaya bia hahaha lol
lakini kwenye vimimi sijui short shorts
Sitoki hahahshhah lol I refused...
PHP:hahahah lol mie nimeva rangi rangi tu lol
I am confidently sure it is BIG RED........underpants........................
daahhhh
samahani sana
wakati huu wote nilidhani wewe ni dada duuhhhh
ladies and Gentleman
leo nimeamua kuuliza kuhusu hii rangi..
kwanini au nini kinawafanya (wanaume)wapende red
utakuta mtu unaenda shopping na partner wako yeye
anakuchangulia nguo nyekundu especially kama ni Lingerie
inamaana hamjui rangi nyingine au?? vipi kuhusu yellow, purple, pink, blue etc
Wanaume wengi sie ni COLOUR BLIND!!!!! so nafikiri RED ni rahisi sana kuitambua! pia mie binafsi mwanamke akivaa suruari NYEKUNDU basi huwa nakuwa hoiiiiiiiiiii. Si utani kumtazama tu basi network huwa juuuu sana.
Alafu ndugu yangu suruali nyekundu ni adimu kweli. maana ukivaa suruali nyekundu juu uvae blouzi ya rangi gani? Aaah. Nimemkumbuka jamaa mmoja mwanasheria huko Dodoma nadhani alishawahi pia kuwa mbunge siku za nyuma. Yeye anavaa full red kila siku mpaka viatu niliwahi ingia kwenye ofisi zake (ana private law firm) kila kitu chekundu. Anatisha kwa kweli. Why red?
Aisee kweli hata mimi suruali nyekundu sikumbuki lini kuona mtu kavaa, haya mavazi mekundu yanaitaji materials nyepesi nyepesi....NK nikiona avatar ina changes nitafurahi sana, mana hapa nashindwa kabisa kuku visualise... unanitesa kweli..