Wana JF habari za asubuhi; kuna rafiki yangu kanambia kuna software inaitwa Record Me ambayo unaweza uka install kwenye cmu yako au mwenzio ukarecord conversation na msgs zote.
Naomba input zenu kuhusu hili especially those who have used it before..
hamjajibu swali...wote munapiga 2 kelele....nani kawambia nataka kurecord?? read the post carefully!!
watu wengine bwana...msijifanye munajua sana mambo
Jamaa hawakuelewi aisee.
Anyways, kama unatumia nokia nenda kwenye nokia store (Ovi) utafute na kudownload kitu inaitwa "Rseven", hiyo ni mwisho wa matatizo.
Utaitumiaje, kurekodi simu ya mkeo sijui demu au nyumba ndogo hiyo ni juu yako. Wasikufuatefuate siyo?!
Kama hutumii nokia mjomba sina msaada...
hamjajibu swali...wote munapiga 2 kelele....nani kawambia nataka kurecord?? read the post carefully!!
watu wengine bwana...msijifanye munajua sana mambo
Jamaa hawakuelewi aisee.
Anyways, kama unatumia nokia nenda kwenye nokia store (Ovi) utafute na kudownload kitu inaitwa "Rseven", hiyo ni mwisho wa matatizo.
Utaitumiaje, kurekodi simu ya mkeo sijui demu au nyumba ndogo hiyo ni juu yako. Wasikufuatefuate siyo?!
Kama hutumii nokia mjomba sina msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.